Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Keep on dreaming young man
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Kambarage alianzia kupihgania uhuru Buutiama?Interlectuals wako wapi?

Sent from my E6653 using JamiiForums mobile app
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Mkuu hizi takwimu umezitia Wapi....vijijini Kuna wapiga kura 80%🤭🤭🤭
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Na aliyejichokea chamwino anasubiri wikend tuu?
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
kwa kumbukumbu zilizopo tangu kampeni zianze hadi kufikia leo, Tundu Lissu ametembelea vijiji vingi zaidi kuliko Magufuli.

labda kama unamaanisha vijiji vya kule Zanzibar!
 
Kijijini ndo ccm wanakopora kura za wajinga....bado najiuliza kwa nn ccm iliagiza tume iengue wagombea wa upinzani ilihali wanakubalika kijijini kwenye kura nyingi?
 
Option pekee waliyobaki nayo ccm Ni kuhairisha uchaguzi, la wizi haliwezekani, la kutumia polisi haliwezekani sababu nao Wana hasira mbaya ya five years awajaongezewa mishahara. So Wana utii wa kwenye uniforms tu na si wa ndani
 
Hawa nao wako vijijini
 
Ni kweli kabisa, mtoa mada. CDM wengi wakiona watu wanaokwenda kwenye kampeni za mgombea huko mijini wanadhani ndo wameshinda. La hasha, nimekuwa nikitoa mfano mdogo tu wa matokeo ya Uchaguzi wa mwaka 2025 katika vituo 3 vya kijijini nilivyoshuhudia. Ilikuwa kama ifuatavyo:-
Kituo A: CCM kura 312, CDM 21.
Kituo B: CCM kura 279, CDM 12.
Kituo C: CCM kura 327, CDM 18.
Wakati huo kura za vituo 3 vya mijini ilikuwa kama ifuatavyo:-
Kituo A: CCM kura 310, CDM 322.
Kituo B: CCM kura 293, CDM 311.
Kituo C: CCM kura 332, CDM 287.
Kwa mchanganuo huo, ukitaka kujua chama gani kitashinda Urais, jumlisha kura za kila chama za mijini na vijijini ndipo utagundua ni nani kapata jumla ya kura nyingi zaidi.
Kwa hiyo, hivi ndivyo itakavyokuwa hata uchaguzi huu wa mwaka 2020.
Advantage ya JPM ni kwamba, yeye hahitaji kwenda vijijini kuomba kura kwa sababu tayari yeye anafahamika na CCM inafahamika na inakubalika kwa asilimia kubwa huko vijijini.
 
kwa kumbukumbu zilizopo tangu kampeni zianze hadi kufikia leo, Tundu Lissu ametembelea vijiji vingi zaidi kuliko Magufuli.

labda kama unamaanisha vijiji vya kule Zanzibar!
Kutembea sio kufanya kampeni
 
Ni kweli kabisa, mtoa mada. CDM wengi wakiona watu wanaokwenda kwenye kampeni za mgombea huko mijini wanadhani ndo wameshinda. La hasha, nimekuwa nikitoa mfano mdogo tu wa matokeo ya Uchaguzi wa mwaka 2025 katika vituo 3 vya kijijini nilivyoshuhudia. Ilikuwa kama ifuatavyo:-
Kituo A: CCM kura 312, CDM 21.
Kituo B: CCM kura 279, CDM 12.
Kituo C: CCM kura 327, CDM 18.
Wakati huo kura za vituo 3 vya mijini ilikuwa kama ifuatavyo:-
Kituo A: CCM kura 310, CDM 322.
Kituo B: CCM kura 293, CDM 311.
Kituo C: CCM kura 332, CDM 287.
Kwa mchanganuo huo, ukitaka kujua chama gani kitashinda Urais, jumlisha kura za kila chama za mijini na vijijini ndipo utagundua ni nani kapata jumla ya kura nyingi zaidi.
Kwa hiyo, hivi ndivyo itakavyokuwa hata uchaguzi huu wa mwaka 2020.
Advantage ya JPM ni kwamba, yeye hahitaji kwenda vijijini kuomba kura kwa sababu tayari yeye anafahamika na CCM inafahamika na inakubalika kwa asilimia kubwa huko vijijini.
Uko sahihi kujua mshindi wa uraisi lazima ujumlishe kura zake za mjini na za vijijini Lisu hadi sasa kura za vijijini ana zero kibao
 
Kwenye Ukweli lazima tuseme mwaka huu mgombea Wangu hashindi ila 2025 Njia nyeupe kabisa
 
Back
Top Bottom