Pre GE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vyama visivyo na sera hatuwapi nafasi hata kidogo, tunakaba mpaka penati.

Ukiona chama hakina sera elewa kuwa hicho ni chama cha wahuni tu.

Upinzani wa CCM utatokea CCM. Kumbuka hilo.
Ccm ina sera gani.au unajiandikia tu ujinga.Nchi imeshawashinda ndo maana hamtaki siasa zakistarabu.miaka 60 mko madarakani bado mnaogopa upinzani hiyo maana yake mmeshindwa.
 
Sijui kwanini wanawapa air time ya bure...Daah!
 
Vyama visivyo na sera hatuwapi nafasi hata kidogo, tunakaba mpaka penati.

Ukiona chama hakina sera elewa kuwa hicho ni chama cha wahuni tu.

Upinzani wa CCM utatokea CCM. Kumbuka hilo.
Wewe ulikuwa ukimponda Magufuli....tumejua kumbe ulikuwa ukimponda kwa Chuki tu. Maana aliyofanya magu ndio hayo hayo unayakubali kwa Samia.

wanafiki sana nyie watu.
 
Ivi Lissu si alisema atatimkia ccm kama chadema itaacha misingi yake? Nafikiri anashuhudia ccm ilivyo au tuseme huwa ni njaa tu kufuata vyeo ilhali wanajua yaliyoko ccm
 
Ivi Lissu si alisema atatimkia ccm kama chadema itaacha misingi yake? Nafikiri anashuhudia ccm ilivyo au tuseme huwa ni njaa tu kufuata vyeo ilhali wanajua yaliyoko ccm
Naona ulichotaka hakikatimia moyo unakuuma.
 
Jeshi la police nchini linashughulika na kila aina ya uhalifu na kila ishara au viashiria vya kihalifu popote nchini...

hakuna kuona aibu wala kuona haya kwenye kudeal na kupambana na wahalifu 🐒
We ni mpuuzi sana, respond my question objectively!
 
si wanasema chadema mbowe ameiua. haina lolote. ushindi ni wa kishindo
 
Watanzania tujiulize tumefikaje hapa!
Mkuu, tumekuwa na chama kimoja kinacho endesha Serikali for 60yrs, tangu tupate Uhuru ndio maana tupo hapa; laiti Nchi ingetawaliwa na vyama mbalimbali kwa kupokezana nadhani tusinge yaona haya. Hili ni tulionalo ni jambo la kawaida sana kiasi kwamba halinge julikana. Hii yote ni uroho wa madaraka.
 
Kwa mtamo wangu naona ni bora wafute mambo ya vyama vingine ili kibaki kimoja kama kukubali changamoto imeshindikaña
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…