Uchaguzi 2020 Lissu na maadili ya Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 Lissu na maadili ya Uchaguzi Mkuu

Nakupongeza kwa andiko zuri. Werevu tu Ndio watakuelewa wengine watakushambulia maana ukweli huuma na maumivu yake hayaishi kwa haraka.
Hongera sana.
Screenshot_2020-09-17-22-19-17-1.jpg
 
UPUUZI MTUPU! Umeandika pumba chungu nzima ila kutumia kisukuma na uvunjifu mwingine wa taratibu za uchaguzi zinazofanywa na maccm wakishirikiana na tume FAKE huzioni!!! 😳

Binafsi nimepata wasaa wa kumsikiliza mheshimiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kuna baadhi ya kauli na shutuma zake kwa mawazo yangu nadhani sio sahihi sana

Ukisoma sheria ya Taifa ya uchaguzi sura ya 343,pamoja na mabadiliko yake ya mwaka 2015 ( The National Election Act,Chapter 343, Revised Edition, 2015) kwenye kifungu cha 124A, kuhusu maadili ya uchaguzi (The election code of conduct)

Sheria hiyo, inataka kila chama kitakachoshiriki uchaguzi mkuu wa October 2020, kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ambapo kwa Chadema kilisaini makubaliano hayo tarehe 27/05/2020 kupitia katibu mkuu wake

Katika kanuni hizo ( Maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka, 2020), kwenye sehemu ya pili, kifungu cha 2, kinaongelea maadili ya vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni

Ukiendelea kwenye kifungo hicho 2.2 ( h), kanuni inaelekeza wazi kabisa kuwa, kukosoana kati ya vyama na wagombea kunapofanyika, inabidi kujikita katika sera, programu na kazi zao walizofanya, ukosoaji wa vyama vingine au wagombea wengine kwa tuhuma zisizothibitishwa ni lazima uepukwe

Lakini mara kadhaa, mheshimiwa mgombea wa CHADEMA, amekuwa akitoa tuhuma kwa mgombea wa chama kingine, bila hata ya kuwa na uthibitisho wa tuhuma hizo

Binafsi kama mzalendo, napenda kutoa wito kwa wagombea wote kufanya kampeni kwa kutumia lugha ya staha huku wakijikita zaidi kwenye kueleza ilani ya vyama vyao kwa wananchi

Ngamanya Kitangalala Mwaswala
kngamanya@yahoo.com
 
UPUUZI MTUPU! Umeandika pumba chungu nzima ila kutumia kisukuma na uvunjifu mwingine wa taratibu za uchaguzi zinazofanywa na maccm wakishirikiana na tume FAKE huzioni!!! 😳

Ataziona wapi mburula huyo anayechekechea teuzi?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Binafsi nimepata wasaa wa kumsikiliza mheshimiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kuna baadhi ya kauli na shutuma zake kwa mawazo yangu nadhani sio sahihi sana

Ukisoma sheria ya Taifa ya uchaguzi sura ya 343,pamoja na mabadiliko yake ya mwaka 2015 ( The National Election Act,Chapter 343, Revised Edition, 2015) kwenye kifungu cha 124A, kuhusu maadili ya uchaguzi (The election code of conduct)

Sheria hiyo, inataka kila chama kitakachoshiriki uchaguzi mkuu wa October 2020, kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ambapo kwa Chadema kilisaini makubaliano hayo tarehe 27/05/2020 kupitia katibu mkuu wake

Katika kanuni hizo ( Maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka, 2020), kwenye sehemu ya pili, kifungu cha 2, kinaongelea maadili ya vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni

Ukiendelea kwenye kifungo hicho 2.2 ( h), kanuni inaelekeza wazi kabisa kuwa, kukosoana kati ya vyama na wagombea kunapofanyika, inabidi kujikita katika sera, programu na kazi zao walizofanya, ukosoaji wa vyama vingine au wagombea wengine kwa tuhuma zisizothibitishwa ni lazima uepukwe

Lakini mara kadhaa, mheshimiwa mgombea wa CHADEMA, amekuwa akitoa tuhuma kwa mgombea wa chama kingine, bila hata ya kuwa na uthibitisho wa tuhuma hizo

Binafsi kama mzalendo, napenda kutoa wito kwa wagombea wote kufanya kampeni kwa kutumia lugha ya staha huku wakijikita zaidi kwenye kueleza ilani ya vyama vyao kwa wananchi

Ngamanya Kitangalala Mwaswala
kngamanya@yahoo.com
1. Mkichagua wapinzani hakuna maendeleo.

2. Ametumwa na mabeberu.

3. Sera ya majimbo italeta vita

4. Serikali yake haitakusanya kodi

5. Wanaedit picha.

6. Lete biluoni tano za barabara.

7..........
 
Si umwambie huyo aliyetuhumiwa ajitokeze kukanusha tuone?mbona unatumia nguvu nyingi
 
Umekwishatoa hilo angalizo kwa mgombea wa CCM?

Yeye anakiuka maadili ya uchaguzi kila siku:

1) kauli za ubaguzi wa kikabila na kikanda, kuwa wamchague yeye kwa sababu yeye ni msukuma mwenzao na anatoka kwao

2) Rushwa ya kuwapa vyeo wapiga kura kwa kueleza kwenye hadhara kuwa Tibaijuka na Masele atawapa vyeo kwenye serikali

3) kuwatisha wapiga kura kuwa wasipochagua wagom ea wa CCM, watajuta kama alivyowatisha wale wananchi wa Magu

4) kuwaagiza watendaji kwenye mikutano ya kampeni, watengeneze barabara

5) kutumia lugha za kabila la wasukuma ili kuwadanganya wasukuma waone ni wa kabila lao


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nimepata wasaa wa kumsikiliza mheshimiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kuna baadhi ya kauli na shutuma zake kwa mawazo yangu nadhani sio sahihi sana

Ukisoma sheria ya Taifa ya uchaguzi sura ya 343,pamoja na mabadiliko yake ya mwaka 2015 ( The National Election Act,Chapter 343, Revised Edition, 2015) kwenye kifungu cha 124A, kuhusu maadili ya uchaguzi (The election code of conduct)

Sheria hiyo, inataka kila chama kitakachoshiriki uchaguzi mkuu wa October 2020, kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ambapo kwa Chadema kilisaini makubaliano hayo tarehe 27/05/2020 kupitia katibu mkuu wake

Katika kanuni hizo ( Maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka, 2020), kwenye sehemu ya pili, kifungu cha 2, kinaongelea maadili ya vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni

Ukiendelea kwenye kifungo hicho 2.2 ( h), kanuni inaelekeza wazi kabisa kuwa, kukosoana kati ya vyama na wagombea kunapofanyika, inabidi kujikita katika sera, programu na kazi zao walizofanya, ukosoaji wa vyama vingine au wagombea wengine kwa tuhuma zisizothibitishwa ni lazima uepukwe

Lakini mara kadhaa, mheshimiwa mgombea wa CHADEMA, amekuwa akitoa tuhuma kwa mgombea wa chama kingine, bila hata ya kuwa na uthibitisho wa tuhuma hizo

Binafsi kama mzalendo, napenda kutoa wito kwa wagombea wote kufanya kampeni kwa kutumia lugha ya staha huku wakijikita zaidi kwenye kueleza ilani ya vyama vyao kwa wananchi

Ngamanya Kitangalala Mwaswala
kngamanya@yahoo.com

Umesahau kuandika namba yako ya simu,na unapopatikana ili upate shavu mkuu.
 
Hujasoma hizo sheria wewe .weka hapa anza kuzipitia ukiwa na bandiko lako kisha fuatilia mikutano ya lissu .Utakuja na jibu
Mimi nimezisoma sheria zote za uchaguzi toka 1995, na ninazitazama kwa makini video zote za kujinadi za wagombea maarufu. Mojawapo ya ukiukwaji mkubwa wa wazi ni mgombea aliye madarakani kutoa amri stendi ya Bweri Musoma ijengwe sasa kwa kutumia pesa zilizokatazwa na Wilaya ya Musoma, na amri ya kujenga barabara ya lami kwa sh B 10 Itigi kuanzia jana. Nami nakusihi uisome Sheria ya Maadili ya Uchaguzi uyaone hayo nisemayo.
 
Binafsi nimepata wasaa wa kumsikiliza mheshimiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kuna baadhi ya kauli na shutuma zake kwa mawazo yangu nadhani sio sahihi sana

Ukisoma sheria ya Taifa ya uchaguzi sura ya 343,pamoja na mabadiliko yake ya mwaka 2015 ( The National Election Act,Chapter 343, Revised Edition, 2015) kwenye kifungu cha 124A, kuhusu maadili ya uchaguzi (The election code of conduct)

Sheria hiyo, inataka kila chama kitakachoshiriki uchaguzi mkuu wa October 2020, kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ambapo kwa Chadema kilisaini makubaliano hayo tarehe 27/05/2020 kupitia katibu mkuu wake

Katika kanuni hizo ( Maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka, 2020), kwenye sehemu ya pili, kifungu cha 2, kinaongelea maadili ya vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni

Ukiendelea kwenye kifungo hicho 2.2 ( h), kanuni inaelekeza wazi kabisa kuwa, kukosoana kati ya vyama na wagombea kunapofanyika, inabidi kujikita katika sera, programu na kazi zao walizofanya, ukosoaji wa vyama vingine au wagombea wengine kwa tuhuma zisizothibitishwa ni lazima uepukwe

Lakini mara kadhaa, mheshimiwa mgombea wa CHADEMA, amekuwa akitoa tuhuma kwa mgombea wa chama kingine, bila hata ya kuwa na uthibitisho wa tuhuma hizo

Binafsi kama mzalendo, napenda kutoa wito kwa wagombea wote kufanya kampeni kwa kutumia lugha ya staha huku wakijikita zaidi kwenye kueleza ilani ya vyama vyao kwa wananchi

Ngamanya Kitangalala Mwaswala
kngamanya@yahoo.com
Hapa utaambulia matusi tu ndugu. swala la kanuni wala sheria kwenye upinzani hawataki kusikia hilo
 
Eeeh Mungu Mapenzi yako yatimie duniani Kama mbinguni


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimepata wasaa wa kumsikiliza mheshimiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kuna baadhi ya kauli na shutuma zake kwa mawazo yangu nadhani sio sahihi sana

Ukisoma sheria ya Taifa ya uchaguzi sura ya 343,pamoja na mabadiliko yake ya mwaka 2015 ( The National Election Act,Chapter 343, Revised Edition, 2015) kwenye kifungu cha 124A, kuhusu maadili ya uchaguzi (The election code of conduct)

Sheria hiyo, inataka kila chama kitakachoshiriki uchaguzi mkuu wa October 2020, kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ambapo kwa Chadema kilisaini makubaliano hayo tarehe 27/05/2020 kupitia katibu mkuu wake

Katika kanuni hizo ( Maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka, 2020), kwenye sehemu ya pili, kifungu cha 2, kinaongelea maadili ya vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni

Ukiendelea kwenye kifungo hicho 2.2 ( h), kanuni inaelekeza wazi kabisa kuwa, kukosoana kati ya vyama na wagombea kunapofanyika, inabidi kujikita katika sera, programu na kazi zao walizofanya, ukosoaji wa vyama vingine au wagombea wengine kwa tuhuma zisizothibitishwa ni lazima uepukwe

Lakini mara kadhaa, mheshimiwa mgombea wa CHADEMA, amekuwa akitoa tuhuma kwa mgombea wa chama kingine, bila hata ya kuwa na uthibitisho wa tuhuma hizo

Binafsi kama mzalendo, napenda kutoa wito kwa wagombea wote kufanya kampeni kwa kutumia lugha ya staha huku wakijikita zaidi kwenye kueleza ilani ya vyama vyao kwa wananchi

Ngamanya Kitangalala Mwaswala
kngamanya@yahoo.com

Unataka uthibitisho gani kuhusu ufisadi wa pesa za umma kwenye ujenzi wa uwanja wa chato kwani uthibitisho si uwanja uko pale umekamilika na hakuna Ndege inayotua hapo. Unataka uthibitisho gani wa wizi was pesa kwa njia ya vitambulisho vya wamachinga hivi TRA wanafahamu ni vitambulisho vingapi vimeuzwa na kwanini vimeuzwa na Rais Kwani kazi ya kurasimisha makundi ya wafanya biashara siyo ya TRA.

Na je kuhusu hizo ahadi zinazotolewa kwenye kampeni na mgombea wa CCM zinaruhusiwa mbona hujasoma hizo kanuni ukaandikia uzi. Na vile vitisho kwamba wananchi wasipo chagua wagombea wa CCM watakiona ndivo kanuni zina sema Na je kuwaambia wananchi hawa kujengewa barabara sababu walichagua upinzani ndo maadili hayo na kusema wakichagua mpinzani hata peleka maendeleo

Hadi anapiga simu kwenye kampeni kuagiza ujenzi wa barabara mbona hayo yanakatazwa umeona ya Lissu kusema ujenzi wa uwanja ni ufisadi.
 
Binafsi nimepata wasaa wa kumsikiliza mheshimiwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kuna baadhi ya kauli na shutuma zake kwa mawazo yangu nadhani sio sahihi sana

Ukisoma sheria ya Taifa ya uchaguzi sura ya 343,pamoja na mabadiliko yake ya mwaka 2015 ( The National Election Act,Chapter 343, Revised Edition, 2015) kwenye kifungu cha 124A, kuhusu maadili ya uchaguzi (The election code of conduct)

Sheria hiyo, inataka kila chama kitakachoshiriki uchaguzi mkuu wa October 2020, kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ambapo kwa Chadema kilisaini makubaliano hayo tarehe 27/05/2020 kupitia katibu mkuu wake

Katika kanuni hizo ( Maadili ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani ya mwaka, 2020), kwenye sehemu ya pili, kifungu cha 2, kinaongelea maadili ya vyama vya siasa na wagombea katika kuendesha shughuli za siasa wakati wa kampeni

Ukiendelea kwenye kifungo hicho 2.2 ( h), kanuni inaelekeza wazi kabisa kuwa, kukosoana kati ya vyama na wagombea kunapofanyika, inabidi kujikita katika sera, programu na kazi zao walizofanya, ukosoaji wa vyama vingine au wagombea wengine kwa tuhuma zisizothibitishwa ni lazima uepukwe

Lakini mara kadhaa, mheshimiwa mgombea wa CHADEMA, amekuwa akitoa tuhuma kwa mgombea wa chama kingine, bila hata ya kuwa na uthibitisho wa tuhuma hizo

Binafsi kama mzalendo, napenda kutoa wito kwa wagombea wote kufanya kampeni kwa kutumia lugha ya staha huku wakijikita zaidi kwenye kueleza ilani ya vyama vyao kwa wananchi

Ngamanya Kitangalala Mwaswala
kngamanya@yahoo.com
Ukiona hivyo ujue kaishiwa propaganda Sasa umshauri aache kampeni mbona mwenzie Membe alizidiwa akatundika daluga? Kwan ni lazima kupiga kampeni?
 
Back
Top Bottom