Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Kama ndivyo si dhani kama ungehangaika na akina maria space na kuacha TBC ha ha haa!Mnachoshindwa kuelewa
Watanzania walio wengi awafungamani na harakati zenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ndivyo si dhani kama ungehangaika na akina maria space na kuacha TBC ha ha haa!Mnachoshindwa kuelewa
Watanzania walio wengi awafungamani na harakati zenu.
Well said, ambazo tabiaa hizi tunaziona zikishamiri since mwendazake na sasa hivi pia. I think nyie ambao MNA madaraka na dola ni vyema mkawa mfano mzuri badala ya kuwa kikwazo.Ikiwa hauna madaraka wala ‘NGUVU YA DOLA’ unatumia ‘BLOCK’ kuzima mitazamo na mawazo ya wengine siku ukipata nafasi ya uongozi na nguvu ya Dola utatumia bunduki na njia nyingine za kikatili kunyamazisha watu.
Ni tabia za kidikteta ambazo tunazipinga na kuzikemea kwa NGUVU zote!
MPUMBAVU ni nani?Kama ndivyo si dhani kama ungehangaika na akina maria space na kuacha TBC ha ha haa!
Mimi sina madaraka mimi ni muuza kahawa hapa mtaani kwangu.Well said, ambazo tabiaa hizi tunaziona zikishamiri since mwendazake na sasa hivi pia. I think nyie ambao MNA madaraka na dola ni vyema mkawa mfano mzuri badala ya kuwa kikwazo.
Usingumze usichokiamini
Hahahaah Bwana Ritz, kutumia ID fake hakukufanyi tusikufahamu! OK, tuyaache hayo basi tuzungumzie hili lililoko mezani kwa sasa!Mimi sina madaraka mimi ni muuza kahawa hapa mtaani kwangu.
Nenda kamuambie hivyo Mama yako kama yuko hai halafu urudi hapa."Mwambieni huyo Mama wembe niliomnyolea mtangulizi wake" tokea lini likawa tusi?
Nani mwenye matatizo katika Ubongo?
Je ni tusi mbele ya Sheria?Nenda kamuambie hivyo Mama yako kama yuko hai halafu urudi hapa.
Siasa za vyama zinakufaidisha nini wewe kama mwananchi? Unakula siasa? Unapeleka watoto shule kwa ushabiki wa vyama?
Yaaani mnaacha mambo ya msingi kupambana Tozo Mpya mnaminyana na mambo ambayo hayawanufaishi na chochote. Siasa zinamnufaisha mwanasiasa kwa sababu ni kazi kwao.
Nenda kamuambie hivyo Mama yako kama yuko hai ndiyo utajuwa whether ni kosa kisheria au siyo kosaJe ni tusi mbele ya Sheria?
Fuateni Sheria sio kwenda na matakwa yenu.Nenda kamuambie hivyo Mama yako kama yuko hai ndiyo utajuwa whether ni kosa kisheria au siyo kosa