Lissu na wanaharakati wa CHADEMA, nchi yetu haitakombolewa kwa 'Space'

Lissu na wanaharakati wa CHADEMA, nchi yetu haitakombolewa kwa 'Space'

Kwa hiyo ukombozi wa nchi yetu utapatikana kwa kujikusanya watu wenye mitazamo na mawazo sawa na kupiga ‘BLOCK’ wale wote ambao hawatusapoti mawazo au mitazamo yetu?
Wanajenga kuta na kuishi kwenye chumba cha watu wenye mitazamo sawa na kusapotiana sio kusimamia Haki na Ukweli.
Enzi za wapigania uhuru africa kusini makundi yenye kuzungumza lugha moja ya uhuru ilibidi yajitenge na mapanya (ndumila kuwili) ili wapate trainning na kijifunza mbinu anuai za kuondosha ukoloni na wengine waliweka makambi hata hapo morogoro.
Sasa mtoa mada wewe ni wa Mars?
 
Enzi za wapigania uhuru africa kusini makundi yenye kuzungumza lugha moja ya uhuru ilibidi yajitenge na mapanya (ndumila kuwili) ili wapate trainning na kijifunza mbinu anuai za kuondosha ukoloni na wengine waliweka makambi hata hapo morogoro.
Sasa mtoa mada wewe ni wa Mars?
Mnachoshindwa kuelewa
Watanzania walio wengi awafungamani na harakati zenu.
 
Mnachoshindwa kuelewa
Watanzania walio wengi awafungamani na harakati zenu.
No research no right to comment.

Ulifanya lini utafiti?

Ingekuwa watz hawaungi mkono mngetumia polisi kwa nguvu kubwa kuzuia mikutano?
 
Utakuwa Chadema-Kata wewe umejiunga juzi.
Yaan ulitaka tutumie tech. ile ile ya akina Malcom X?

Unafiki sana,tech imebadilika ivyo njia za mapambano zimekuwa rahisi zaidi.
 
No research no right to comment.

Ulifanya lini utafiti?

Ingekuwa watz hawaungi mkono mngetumia polisi kwa nguvu kubwa kuzuia mikutano?
Mfano mdogo kila siku mnaitisha maandamano kina Lissu, Lema, Mbowe, wanatoa matamko watu waingie barabarani nani kaongia hata wewe unafanya harakati zako umejificha JF.
 
Siasa za vyama zinakufaidisha nini wewe kama mwananchi? Unakula siasa? Unapeleka watoto shule kwa ushabiki wa vyama?
Yaaani mnaacha mambo ya msingi kupambana Tozo Mpya mnaminyana na mambo ambayo hayawanufaishi na chochote. Siasa zinamnufaisha mwanasiasa kwa sababu ni kazi kwao.
Hauna elimu ya uraia!

Chanzo cha tozo,maisha magumu ni siasa na wanasiasa,siasa ndio mwamuzi wa namna maisha yanatakiwa kwenda. Ivyo sisi tunapiga hapo hapo kwenye siasa kupambana na hasa KATIBA MPYA.
 
Yaan ulitaka tutumie tech. ile ile ya akina Malcom X?

Unafiki sana,tech imebadilika ivyo njia za mapambano zimekuwa rahisi zaidi.
Mwambie Lema, hayo maneno.
 
Wanaukumbi

Nchi yetu haitakombolewa kwa Space; tunahitaji kushikamana na kushawishi NGUVU YA UMMA kusimamia haki kwa vitendo. Ili mapambano yanoge inatakiwa viongozi wote wawe mstari wa mbele: Martin Luther King Jr. na kina Malcom X hawakuwa wanajificha kwenye mitandao waliongoza mstari wa mbele kabisa.

#Spaces zinakusanya watu wenye mitazamo sawa na wanaokubaliana na mitazamo, ukiwa na mitazamo tofauti au kupinga mawazo yao wanakupa ‘BLOCK’.

GENGE LA WAGANGA njaa wanaojiita wanaharakati wanazuga kwamba wanapigania Haki na Uhuru wakati wao hawaheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo.

Wale wanaojiita mashangazi kila siku wanawajaza wenzao upepo, mbona hatujawaona mstari wa mbele Kisutu? Haki ipiganiwe kwa vitendo sio kuendesha kipindi Twitter!

View attachment 1883792
Hivi kuna shangazi yeyote hapa Tanzania amewahi kuandamana zaidi ya kudanganya wenzao waingie mitaani kuandamana na kukamatwa? Wanaharakati wetu wakamatwe tu kwani ni wapotoshaji na hawana maana.
 
Mfano mdogo kila siku mnaitisha maandamano kina Lissu, Lema, Mbowe, wanatoa matamko watu waingie barabarani nani kaongia hata wewe unafanya harakati zako umejificha JF.
Uwanja hauko sawa,acheni kutumia polisi kukamata,kuua na kutesa raia uone kama nchi nzima haitakuwa barabarani?

Kuwa jf na Twitter ni mbadala wa maandamano,Meko alijaribu kuharibu na uku akashindwa.

Kwa sasa kipimo cha uungwaji mkono ni Twitter na mitandao mingine ya kijamii.

Muambie Samia atwti halafu check maoni ya wadau uone mlivyo ovyo!
 
Twitter ya Tanzania watu wanataka mfanane Mitazamo, mposti maudhui yanayofanana, msapoti harakati zinazofanana ndiyo muheshimiane.

Alafu hao hao ndiyo wanasema CCM ni madikteta wanabinya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza.

Mabadiliko yaanze kwa Mtanzania mmoja mmoja, badilika!
Kama nyie mnavyoamini kuwa kila aliye kinyume na nyie ni adui yenu.
 
Hauna elimu ya uraia!

Chanzo cha tozo,maisha magumu ni siasa na wanasiasa,siasa ndio mwamuzi wa namna maisha yanatakiwa kwenda. Ivyo sisi tunapiga hapo hapo kwenye siasa kupambana na hasa KATIBA MPYA.
Siasa zipi hizi za kwenu za kina Kigogo na Mdude?
 
Kama nyie mnavyoamini kuwa kila aliye kinyume na nyie ni adui yenu.
Ikiwa hauna madaraka wala ‘NGUVU YA DOLA’ unatumia ‘BLOCK’ kuzima mitazamo na mawazo ya wengine siku ukipata nafasi ya uongozi na nguvu ya Dola utatumia bunduki na njia nyingine za kikatili kunyamazisha watu.
Ni tabia za kidikteta ambazo tunazipinga na kuzikemea kwa NGUVU zote!
 
Ikiwa hauna madaraka wala ‘NGUVU YA DOLA’ unatumia ‘BLOCK’ kuzima mitazamo na mawazo ya wengine siku ukipata nafasi ya uongozi na nguvu ya Dola utatumia bunduki na njia nyingine za kikatili kunyamazisha watu.
Ni tabia za kidikteta ambazo tunazipinga na kuzikemea kwa NGUVU zote!
Blocks kumbe zinawauma sana eh?

KATIBA MPYA ndio itaondoa ubabe wote huo
 
Nadhani wewe mleta mada hujui faida za kubadilishana mawazo.

Clubhouse ni open space kila mtu anaweza kuingia kusilikiliza
Mandela hakuukimbia nchi nyie mnaleta balaa mnakimbilia ubeberuni halafu mnatuchochea tufanye maandamano hatudanganyiki ng'oo
 
Back
Top Bottom