Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una umri gani kwanza? Maan unayoyaandika, basi tu lakini ndiyo uhuru huoWapi nimepinga? Mimi nipo na kauli ya Rais Katiba Mpya tumpe muda ajenge kwanza nchi nyie kama nani mnampangia hayo mamlaka mmeyatoa wapi?
Mkuu wewe unaongelea hoja ya nguvu ya mitandao au ishu binafsi manake sion locus standing yako ikwapi-Consistence kwenye argument yoyote ni jambo la msingi sana otherwise ni kupoteza muda.Kwa hiyo ukombozi wa nchi yetu utapatikana kwa kujikusanya watu wenye mitazamo na mawazo sawa na kupiga ‘BLOCK’ wale wote ambao hawatusapoti mawazo au mitazamo yetu?
Wanajenga kuta na kuishi kwenye chumba cha watu wenye mitazamo sawa na kusapotiana sio kusimamia Haki na Ukweli.
Wanaukumbi
Nchi yetu haitakombolewa kwa Space; tunahitaji kushikamana na kushawishi NGUVU YA UMMA kusimamia haki kwa vitendo. Ili mapambano yanoge inatakiwa viongozi wote wawe mstari wa mbele: Martin Luther King Jr. na kina Malcom X hawakuwa wanajificha kwenye mitandao waliongoza mstari wa mbele kabisa.
#Spaces zinakusanya watu wenye mitazamo sawa na wanaokubaliana na mitazamo, ukiwa na mitazamo tofauti au kupinga mawazo yao wanakupa ‘BLOCK’.
GENGE LA WAGANGA njaa wanaojiita wanaharakati wanazuga kwamba wanapigania Haki na Uhuru wakati wao hawaheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo.
Wale wanaojiita mashangazi kila siku wanawajaza wenzao upepo, mbona hatujawaona mstari wa mbele Kisutu? Haki ipiganiwe kwa vitendo sio kuendesha kipindi Twitter!
View attachment 1883792
Wewe punguani kweli kila siku kina Lema wanawataja kina Luther King, unakubali.
Wew chizi yaani dunia ya sasa unafananisha na dunia ya wapambanaji wa kale??? Watu kama nyie ni hasara kwa taifa, na bora ukae huko huko ccm hata chauma usiendeKwa hiyo ukombozi wa nchi yetu utapatikana kwa kujikusanya watu wenye mitazamo na mawazo sawa na kupiga ‘BLOCK’ wale wote ambao hawatusapoti mawazo au mitazamo yetu?
Wanajenga kuta na kuishi kwenye chumba cha watu wenye mitazamo sawa na kusapotiana sio kusimamia Haki na Ukweli.
Ana haki ya kupinga. Ndiyo uhuru wa mawazo. Chadema wanataka kila mtu akubaliane nao kuhusu kuwa na katiba mpya, halafu wanajiita chama cha demokrasia!!! AibuKwahiyo wewe unapinga katiba mpya?
"Most of the world's dictators share a common fear, and it's not of the United States, NATO, the United Nations or any outside entity. No, the force that most threatens them is social media."Wanaukumbi
Nchi yetu haitakombolewa kwa Space; tunahitaji kushikamana na kushawishi NGUVU YA UMMA kusimamia haki kwa vitendo. Ili mapambano yanoge inatakiwa viongozi wote wawe mstari wa mbele: Martin Luther King Jr. na kina Malcom X hawakuwa wanajificha kwenye mitandao waliongoza mstari wa mbele kabisa.
#Spaces zinakusanya watu wenye mitazamo sawa na wanaokubaliana na mitazamo, ukiwa na mitazamo tofauti au kupinga mawazo yao wanakupa ‘BLOCK’.
GENGE LA WAGANGA njaa wanaojiita wanaharakati wanazuga kwamba wanapigania Haki na Uhuru wakati wao hawaheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo.
Wale wanaojiita mashangazi kila siku wanawajaza wenzao upepo, mbona hatujawaona mstari wa mbele Kisutu? Haki ipiganiwe kwa vitendo sio kuendesha kipindi Twitter!
View attachment 1883792
Sio kupinga kuwepo na huru wa kila maoni hata yaliyo kinyume lkn kupitia kueleweshana tunakuja kwenye kitu kimoja sio nikiwa tofauti na waso lako ni BLOCK huu ni ujingaKwahiyo wewe unapinga katiba mpya?
Mnaotaka mko wangapi?Litakombolewa kwa kubambikia ugaidi sio,Acha maneno mingi tunataka katiba mupya.
CDM walikosea ku apply principle ya "One Size Fits All". Walipaswa wakae chini na wataalamu wa Siasa za vyama. Watahmini miaka 10 nyuma walifanya nini na walikwama wapi? Then hii Serikali ya SAMIA ni ya namna gani na na ni vipi wanapaswa kukabiliana nayo.Wanaukumbi
Nchi yetu haitakombolewa kwa Space; tunahitaji kushikamana na kushawishi NGUVU YA UMMA kusimamia haki kwa vitendo. Ili mapambano yanoge inatakiwa viongozi wote wawe mstari wa mbele: Martin Luther King Jr. na kina Malcom X hawakuwa wanajificha kwenye mitandao waliongoza mstari wa mbele kabisa.
#Spaces zinakusanya watu wenye mitazamo sawa na wanaokubaliana na mitazamo, ukiwa na mitazamo tofauti au kupinga mawazo yao wanakupa ‘BLOCK’.
GENGE LA WAGANGA njaa wanaojiita wanaharakati wanazuga kwamba wanapigania Haki na Uhuru wakati wao hawaheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo.
Wale wanaojiita mashangazi kila siku wanawajaza wenzao upepo, mbona hatujawaona mstari wa mbele Kisutu? Haki ipiganiwe kwa vitendo sio kuendesha kipindi Twitter!
View attachment 1883792
Basi ndio maana mawazo ya mwaka 47,unataka yafanye kazi karne ya 21.Naweza kuwa na umri wa Baba yako marais wote watanzania nimewaona
Tusi gani au Gillette imekuwa tusi?na kumtukana Rais SSH
CHADEMA ni chama kimejitosa kupigania Katiba Mpya kama Ajenda yao kuu; ni vema basi wakaonyesha umma wa watanzania kwamba wanaheshimu Katiba1977 inayotumika sasa na wanafuata Sheria za nchi katika kutafuta suluhu za matatizo ya kisiasa. Tulinde Haki kwa utulivu na Amani."Most of the world's dictators share a common fear, and it's not of the United States, NATO, the United Nations or any outside entity. No, the force that most threatens them is social media."
![]()
Social media threatens dictators
Originally designed as enhanced online chat forums for young Americans, Facebook, Twitter,...www.sfgate.com