Lissu na wanaharakati wa CHADEMA, nchi yetu haitakombolewa kwa 'Space'

Lissu na wanaharakati wa CHADEMA, nchi yetu haitakombolewa kwa 'Space'

CHADEMA ni chama kimejitosa kupigania Katiba Mpya kama Ajenda yao kuu; ni vema basi wakaonyesha umma wa watanzania kwamba wanaheshimu Katiba1977 inayotumika sasa na wanafuata Sheria za nchi katika kutafuta suluhu za matatizo ya kisiasa. Tulinde Haki kwa utulivu na Amani.
Katiba ya mwaka 1977 ndiyo inayowapa uhuru CDM wa kufanya makongamano na maandamano ya amani.Anayevunja katiba hapo ya mwaka 1977 ni serikali ya ccm kwa kushindwa kutimiza wajibu wao ulio ainishwa kwenye katiba.
 
CHADEMA ni chama kimejitosa kupigania Katiba Mpya kama Ajenda yao kuu; ni vema basi wakaonyesha umma wa watanzania kwamba wanaheshimu Katiba1977 inayotumika sasa na wanafuata Sheria za nchi katika kutafuta suluhu za matatizo ya kisiasa. Tulinde Haki kwa utulivu na Amani.
Heshima huenda kwa anayejiheshimu.Asiyejiheshimu huchukuliwa kama wahuni wengine tu.
 
Kipindi cha JK tuliona mijadala na midahalo kwenye televisheni , radio na kwenye kumbi mbalimbali, kipindi cha dhalimu akapiga marufuku. Sasa hivi mama wa kambo na yeye anaiga tembo kunya anajaza polisi kwenye mikutano ya ndani. Unategemea watu watakaa wakisubiri tu mpaka ccm waruhusu mijadala? Ukifunga mlango mmoja, mingi iko wazi watu wataendelea na njia nyingine nyingi. Kama mmezuIa watu kujadili humu ndani ya nchi kwakuwa ccm hamtaki, unalalamika nini wakikublock huko kwenye space kwa kitu unachoona ni sawa hapa nchini?
Kipindi cha JK huyo mfalme wenu Mbowe, hawakuhi kesema hatupo tayar kumpa muda rais kuhusu katiba, unapombwa Rais Samia hayo maneno maana yake ni kuwa watapambana nae. Hiyo ni battle na Rais.
 
Nadhani wewe mleta mada hujui faida za kubadilishana mawazo.

Clubhouse ni open space kila mtu anaweza kuingia kusilikiliza
Clubhouse ita jumuisha kama 10% ya watanzania! Meaning 90% watakuwa bado wana unga mkono serikali ya CCM. What you are doing, is shooting yourself in the foot!
 
Kipindi cha JK huyo mfalme wenu Mbowe, hawakuhi kesema hatupo tayar kumpa muda rais kuhusu katiba, unapombwa Rais Samia hayo maneno maana yake ni kuwa watapambana nae. Hiyo ni battle na Rais.
Labda wakati cdm wanadai katiba kipindi cha JK ulikuwa bado jela. Ndio ni mapambano lakini ya kisiasa maana hakuna aliyeingia msituni. Inaonekana hujui mapambano ya kisiasa tena ya wazi. Tena nitashangaa cdm wakikubali kusubiri rais aliyeko madarakani kwa wizi wa kura siku atakayotaka katiba mpya.
 
Wanaukumbi

Nchi yetu haitakombolewa kwa Space; tunahitaji kushikamana na kushawishi NGUVU YA UMMA kusimamia haki kwa vitendo. Ili mapambano yanoge inatakiwa viongozi wote wawe mstari wa mbele: Martin Luther King Jr. na kina Malcom X hawakuwa wanajificha kwenye mitandao waliongoza mstari wa mbele kabisa.

#Spaces zinakusanya watu wenye mitazamo sawa na wanaokubaliana na mitazamo, ukiwa na mitazamo tofauti au kupinga mawazo yao wanakupa ‘BLOCK’.

GENGE LA WAGANGA njaa wanaojiita wanaharakati wanazuga kwamba wanapigania Haki na Uhuru wakati wao hawaheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo.

Wale wanaojiita mashangazi kila siku wanawajaza wenzao upepo, mbona hatujawaona mstari wa mbele Kisutu? Haki ipiganiwe kwa vitendo sio kuendesha kipindi Twitter!

View attachment 1883792
Tangu lin ccm na wafuasi wa ccm , mkajua harakati za ukombozi ,wale wa ASP plus TANU ndo wanajua, CCM chotara wa Sasa mpo fuata mkumbo ,hata mnacho kipigania hamjui, hata kanuni za mwanachama kwenye KADI ya yenu ya CCM hamjui, mpo kilimbukeni kilimbukeni tu, kisa mpo ccm


Subiri mapigo 47 yajayo juu yenu ndo mtapata akili,
Wanaukumbi

Nchi yetu haitakombolewa kwa Space; tunahitaji kushikamana na kushawishi NGUVU YA UMMA kusimamia haki kwa vitendo. Ili mapambano yanoge inatakiwa viongozi wote wawe mstari wa mbele: Martin Luther King Jr. na kina Malcom X hawakuwa wanajificha kwenye mitandao waliongoza mstari wa mbele kabisa.

#Spaces zinakusanya watu wenye mitazamo sawa na wanaokubaliana na mitazamo, ukiwa na mitazamo tofauti au kupinga mawazo yao wanakupa ‘BLOCK’.

GENGE LA WAGANGA njaa wanaojiita wanaharakati wanazuga kwamba wanapigania Haki na Uhuru wakati wao hawaheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo.

Wale wanaojiita mashangazi kila siku wanawajaza wenzao upepo, mbona hatujawaona mstari wa mbele Kisutu? Haki ipiganiwe kwa vitendo sio kuendesha kipindi Twitter!

View attachment 1883792
 
Hizo space zinatumika kujaza vijana wadogo upepo huku wao wakinywa kahawa na kashata na kurefresh twiti za siku inayofuata kuona wangapi wamepigwa na polisi ili wasukume hashtag mpya, ni mradi endelevu wa kupata hela za kuendeleza harakati za kupambania "demokrasia"
 
Kipindi cha JK tuliona mijadala na midahalo kwenye televisheni , radio na kwenye kumbi mbalimbali, kipindi cha dhalimu akapiga marufuku. Sasa hivi mama wa kambo na yeye anaiga tembo kunya anajaza polisi kwenye mikutano ya ndani. Unategemea watu watakaa wakisubiri tu mpaka ccm waruhusu mijadala? Ukifunga mlango mmoja, mingi iko wazi watu wataendelea na njia nyingine nyingi. Kama mmezuIa watu kujadili humu ndani ya nchi kwakuwa ccm hamtaki, unalalamika nini wakikublock huko kwenye space kwa kitu unachoona ni sawa hapa nchini?
ACHA mkuu angaika , laana zinawatafuna hawa
 
Kipindi cha JK tuliona mijadala na midahalo kwenye televisheni , radio na kwenye kumbi mbalimbali, kipindi cha dhalimu akapiga marufuku. Sasa hivi mama wa kambo na yeye anaiga tembo kunya anajaza polisi kwenye mikutano ya ndani. Unategemea watu watakaa wakisubiri tu mpaka ccm waruhusu mijadala? Ukifunga mlango mmoja, mingi iko wazi watu wataendelea na njia nyingine nyingi. Kama mmezuIa watu kujadili humu ndani ya nchi kwakuwa ccm hamtaki, unalalamika nini wakikublock huko kwenye space kwa kitu unachoona ni sawa hapa nchini?
Kwani mama nae ni dhalimu?

Si ni mwema sana huyu rais wetu kipenzi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Twitter ya Tanzania watu wanataka mfanane Mitazamo, mposti maudhui yanayofanana, msapoti harakati zinazofanana ndiyo muheshimiane.

Alafu hao hao ndiyo wanasema CCM ni madikteta wanabinya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza.

Mabadiliko yaanze kwa Mtanzania mmoja mmoja, badilika!
Hao "Twitter ya Tanzania" unawajuwa wewe uneyekwenda huko na kulalamika juu yao, sisi tuliopo Tanzania hatuna mashaka yoyote kuhusu "udikteta wa CCM, wanabinya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza".

Wewe pigana na hao wa huko kwenu "Twitter", sisi kwetu ni hapa hapa Tanzania ambapo tutapigana na hawa CCM kwa njia yoyote ile, hata ikibidi kutumia hizo njia za huko kwenu 'Twitter' ya Tanzania.

Nijuavyo mimi, akili yako pamoja na kuelewa niliyokuandikia hapa vyema, bado tumbo litakusuta na kuituma akili ijifanye haielewi kitu chochote.

Ni hasara kubwa kuwa na watu wenye aina hiyo kwenye taifa lolote!
 
Sio mwema, ila sio dhalimu kama lile dubwasha lenu, hapa alipo anaiga tembo kunya.
Kabisa! Bapo nakubaliana na wewe kabisa!

Siyo dhalimu kama lile dubwasha lako,

Ndio maana sasa hadi magaidi wanakamatwa! Mama hataki dhuruma kabisa!

Kumbe lile dubwasha lako lilikuwa linalea magaidi kwa miaka yote 6?

Makofi kwa mama
 
Kabisa! Bapo nakubaliana na wewe kabisa!

Siyo dhalimu kama lile dubwasha lako,

Ndio maana sasa hadi magaidi wanakamatwa! Mama hataki dhuruma kabisa!

Kumbe lile dubwasha lako lilikuwa linalea magaidi kwa miaka yote 6?

Makofi kwa mama

Magaidi wa katiba Mpya mbona kawakamata wachache sana. Anatakiwa akamate wengi awezavyo maana katiklba mpya iko palepale, lakini yeye anaiga tu tembo kunya. Lile dubwasha liliko jehanamu lilikuwa dhalimu la kuzaliwa sio huyu mama wa kambo.
 
Kama hukuona tusi kwenye hotuba ya Mdude ya Barracuda una matatizo ya ubongo.
"Mwambieni huyo Mama wembe niliomnyolea mtangulizi wake" tokea lini likawa tusi?
Nani mwenye matatizo katika Ubongo?
 
Hao "Twitter ya Tanzania" unawajuwa wewe uneyekwenda huko na kulalamika juu yao, sisi tuliopo Tanzania hatuna mashaka yoyote kuhusu "udikteta wa CCM, wanabinya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza".

Wewe pigana na hao wa huko kwenu "Twitter", sisi kwetu ni hapa hapa Tanzania ambapo tutapigana na hawa CCM kwa njia yoyote ile, hata ikibidi kutumia hizo njia za huko kwenu 'Twitter' ya Tanzania.

Nijuavyo mimi, akili yako pamoja na kuelewa niliyokuandikia hapa vyema, bado tumbo litakusuta na kuituma akili ijifanye haielewi kitu chochote.

Ni hasara kubwa kuwa na watu wenye aina hiyo kwenye taifa lolote!
Wewe punguani kweli umeandika nini sasa.
 
Back
Top Bottom