Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

Ndio hivyo,sina huruma kabisa na watu makatili kama ninyi!
Nyuzi za Tanzia hapa nazisubiri kwa haku nikamwage sumu!
Kwa mtazamo wako makatili ni watu wanaopigania unyonyaji usiendelee nchini, lakini huoni kama huyo Lisu wako anataka kuiuza nchi kwa mabeberu na makaburu?!! Kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
Ndio hivyo,sina huruma kabisa na watu makatili kama ninyi!
Nyuzi za Tanzia hapa nazisubiri kwa haku nikamwage sumu!
Endelea kutokua na huruma, ila siku ukiamka kwenye huo usingizi utakua na huruma.
 
Tundu Lissu akihojiwa na redio Ujerumani DW anasema amepata simu za kutishiwa amani na ameamua kujificha kwenye makazi ya Balozi wa Ujerumani

Anasema maisha yake yako hatarini na anajipanga kuondoka na kurudi Ubeligiji

Tundu ni mwanasheria na very treak man tujihadhari naye sana

=========

LISSU: Niko katika makazi ya balozi wa Ujerumani, Dar es Salaam tangu siku ya Jumatatu.

MWANDISHI: Kulikoni?
LISSU: Naishi kwenye makazi ya balozi kwa sababu maisha yangu hayako salama tangu siku ya Jumamosi iliyopita, napata ujumbe wa kunitishia maisha kwa hiyo niliondoka nyumbani kwangu siku ya Jumapili na siku ya Jumatatu nikaenda ubalozini, nikafatwa na askari polisi wa Tanzania wakiwa kwenye magari mawili, nikakamatwa nikapelekwa kituo cha polisi Central na isingekuwa uwepo wa maafisa wa kibalozi wa Ujerumani siku hiyo pengine nisingerudi nyumbani kwangu.

MWANDISHI(LILIAN MTONO): Unasema kwamba ulianza kupata vitisho siku ya Jumamosi kabla hujahamia kwenye makazi ya balozi, ni vitisho vya aina gani ulivipata na nani hasa alikuwa anakutisha?
LISSU: Siku ya Jumamosi nilipigiwa simu na mtu ambae hakujitambulisha akaniambia kwamba, mheshimiwa maagizo tuliyopewa ni kumalizana na wewe, once and for all na baadae kidogo nikaletewa simu nyingine na mtu mwingine aliniambia hivyo hivyo kwamba mheshimiwa oda ya kukumaliza imetolewa kwa hiyo kama unaweza kujiokoa jiokoe.

MWANDISHI: Kwa hiyo hawa waliokupa taarifa ni wale waliotumwa ama labda ni wasamaria wema?
TUNDU LISSU: Nafikiri kwa jinsi walivyojitambulisha ni wako katika hilo kundi la watu waliotumwa lakini hawakubaliani na mambo haya.

MWANDISHI: Utakuwa hapo hadi lini?
TUNDU LISSU: Nitakuwa hapa mpaka hapo usalama wangu utakapohakikishwa, sipendi kukaa hapa, mimi ni mtu mwenye shughuli nyingi kwa hiyo nataka niondoke hapa haraka iwezekanavyo na bahati mbaya siwezi nikajua itakuwa lini kwa sababu wale wanaopaswa kuhakikisha usalama wangu wanaonekana kama hawataki kujicommit kwamba kama nikitoka nje nitakuwa salama.

MWANDISHI: Kwanini unasema hivyo?
LISSU: Kwa sababu tangu nimekuwa hapa kumekuwa na jitihada za mabalozi wa nchi mbalimbali kuiambia serikali ya Tanzania kwamba haya mambo yanatokea sio masuala sahihi na mpaka sasahivi hizo jitihada hazijafanikiwa bado.

MWANDISHI: Utakapofanikiwa kuondoka, utabakia nchini au utarudi Ubelgiji?
LISSU: Nitaondoka kurudi Ubelgiji kwasababu hali ya usalama sasa hivi sio nzuri hata kidogo, hivi vitisho ni vitu ambavyo lazima nivichukulie kwa uzito mkubwa na wa kipekee.

MWANDISHI: Bado unajiona utasimama tena kwenye kinyang'anyiro kijacho cha Urais na utaendelea na harakati zako za kisiasa?
LISSU: Tuombe Mungu atupe uzima tujue miaka inayokuja itatuweka vipi lakini nachoweza kusema waziwazi ni kwamba harakati ni maisha yangu.
Kwanini aisngeomba hifadhi angalau hata ubalozi wa Burundi hapo manake ni karibu
 
Endapo akitoka hapo na akadhulika, hata kama siyo serikali iliyofanya tayari itaonekana ni serikali. Mbaya sana!


Cc: mahondaw
 
lakini si alisema wakati wakampeni kwamba ana tiketi ya kwenda ubelgiji hata kabla ya vitisho anavyodai ?
Namshauri ahamie hukohuko ubelgiji asirudi tena Tanzania. Kama hao wabelgiji wanampenda sana wampe ubunge.
 
Nendeni mkamshambulie hapo ubalozini sasa mbwa nyie!
Hilo bao bora baba yako angepiga nyeto tu,stiff insolent naked fool!
Ndio maana nipo hapa na tutawakimbiza kwa miaka mingine mitano. Na huyu Lissu wenu akitoka hapo mjue mahakama inamuhusu.
 
Wewe, Lisu na wapinzani wenu woote kama mnaona Tanzania ni nchi yenye ya nyani waoga na wanafiki, fungeni virago vyenu muende ubelgiji mkagombee ubunge na uraisi hukohuko msirudi tena Tanzania. Hatutaki kuishi na vibaraka.cc.

Kwann ikifika wakati wa uchaguzi Lisu anarudi nchini?? Na ww usirudi nchini kwetu. Nenda huko ubelgiji ukawatumikie mabeberu na makaburu.
Sina chama mimi, na virago nafunga ndiyo tayari tiketi ipo naondoka hivi karibuni nitarudi tena 2025 mkishanyoshwa mkanyooka kweli shenzi. Vibaraka wa babu yako? Jinga mmekua brainwashed, siongei na mbwa leta mwenye mbwa tuongee naye.
 
Ndio maana nipo hapa na tutawakimbiza kwa miaka mingine mitano. Na huyu Lissu wenu akitoka hapo mjue mahakama inamuhusu.
Utamkimbiza nani?Wengine ukijua nafasi zetu utashangaa kuona wewe ndiye unayekimbizwa!
Lissu ataondoka na kwenda kuendelea na maisha!
 
Nyie wafuasi wa Lisu, naomba mjiulize hivi, kwann Lisu asipewe uraia na uongozi kwenye hizo nchi zote za ulaya anazokimbilia huku akiipaka mavi Tanzania?

Kama hao wazungu wanampenda saana na wanamkubali kwann hawampi uongozi kuwaongoza raia wao huko kwenye nchi zao?!! Badala yake wanampa pesa ya kurubuni baadhi ya watanzania kutokua na uzalendo na nchi yao.

Naomba mnijibu tafadhali
 
Sina chama mimi, na virago nafunga ndiyo tayari tiketi ipo naondoka hivi karibuni nitarudi tena 2025 mkishanyoshwa mkanyooka kweli shenzi. Vibaraka wa babu yako? Jinga mmekua brainwashed, siongei na mbwa leta mwenye mbwa tuongee naye.
Punguza jazba sindano yenye dawa ikuingie ili upone wewe.

Nakushauri usirudi 2025, ukagombee uongozi hukohuko unakokwenda.

Usirudi hapa kutuchafulia hali ya hewa.
 
Hivi watu wengi humu akili mbovu tu siyo? Mnatetea udhalimu siyo tu aliofanyiwa, bali anaoendelea kufanyiwa Lissu, na sisi watanzania tulioporwa haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka? Bure kabisa nyote humu mnaounga mkono ushetani unaoendelea! Au ni sheitwani, au MATAGA wachumia tumbo! Mtu wa kawaida hawezi kuwa upande wa hawa manyang'au wanaoendelea kuitesa na kuifilisi nchi hii!
 
Hao walompigia sim kama sio watu wake aweke mawasliano hapa. Hakuna anayetaka kumuua aache kujitisha

Ila kama anapenda kuishi ubalozini vile
 
Back
Top Bottom