Hata ka mimi ningekua Lissu ningeondoka. Nchi hii ya nyani imejaa wanafiki watu mnaibiwa mnaitwa kuandamana kudai haki yenu mnakaa kabisa na kusema aende mwenyewe akafe. Hivi mnategemea akisimama mwenyewe bila wananchi kumuunga mkono ataenda popote?
Sijaona nchi ina nyani waoga kama Tanzania, sio nchi hii ni choo kimejaa mavi tu. Na mimi naondoka very soon shenzi mbaki na mitandao mmezimiwa wala hamna mtu wa kuquestion hta moja. Siku tako likiamka asububi likajisiki kurudisha litapiga simu liseme haya rudishia hao nyani mawasiliano then mtakaa kushukuru ahsante sana mungu jiwe. Nchi ya kishenzi, watu wake washenzi. I’m done