lenyu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 447
- 497
Nendeni sasaHizi ni story za kwenye vijiwe vya kahawa...hivi wakitaka kummaliza wanashindwa kufika hapo ubalozini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni sasaHizi ni story za kwenye vijiwe vya kahawa...hivi wakitaka kummaliza wanashindwa kufika hapo ubalozini?
Kama watanzania wamepuuza, washeni mitandao ya kijamii tuendelee na maisha tuliyoyazoea!Hawa watu wanatengeneza scenes nyingi kulioko series ya isidingo
HAKUNA mwenye akili timamu kumtishia maisha Lissu, Lissu anatishwa na red brigade maana watu wanataka Mbowe aachie ngazi Sasa kahisi Lissu atapendekezwa na Mbowe Kama kawaida yake ukigusa uenyekiti lazima ufe au uhame chama. Anza na Zitto, Wangwe, Sumaye, Mwambe. Sasa ni zamu ya Lissu kumalizwa na Mbowe.Nchi imekuwa ya hovyo kabisa hii!!
Kama hawana habari naye ilikuwaje askari kumfuata na kumkamata akiwa eneo la ubalozi?Huyu anajishitukia tu, na hilo lipo wazi anatafuta huruma za mabeberu waendelee kumfadhili ili siku moja aje kuwalipa fidia hana jipya kwa sasa wala hata hao anao wahic hawanahabari naye
sent from HUAWEI
Maneno yako yanaleta hisia za muelekeo wa kaukweli vile. TutafakariAmetafuta justification ya kuhalalisha kuishi Brussels. Nani ahangaike na Lissu wakati huu ambapo hana madhara. Labda ndani ya CHADEMA huenda anatishia uenyekiti wa mtu ambapo ni sawa na uhaini.
Aisee, unaelewa maana ya ubalozi wa nchi?Hizi ni story za kwenye vijiwe vya kahawa...hivi wakitaka kummaliza wanashindwa kufika hapo ubalozini?
kwa Sheria ipi? Kwa sheria ipi?? kwanza mna akili za kutosha kumpatia hatia huyo mtu au unabwabwaja tu?Ili iwe fundushisho kwa wavurugaji wote wa nyakati za sasa na zijao, moja: wahakikishe nchini hachomoki, mbili: anashitakiwa na kutiwa hatiani, na tatu: hukumu atakayopata iwe ni ya kifungo cha jela tena cha muda mrefu miaka 30.
Ametafuta justification ya kuhalalisha kuishi Brussels. Nani ahangaike na Lissu wakati huu ambapo hana madhara. Labda ndani ya CHADEMA huenda anatishia uenyekiti wa mtu ambapo ni sawa na uhaini.
Hawezi kuchafua nchi ambayo tayari imeshachafuka, akishambuliwa au kuuwawa mfuasi au kiongozi wa chadema au ACT watuhumiwa hawajulikani! Akishambuliwa mfuasi wa CCM hata kofi moja wanakamatwa watu 50! Mmechafua nchi kwa uroho wa vyeo na madaraka ya kisiasa. Aibu kubwa sana.Lissu na CHADEMA yake ndio wa hovyo kabisa. Hakuna matisho yoyote, ila anajitahidi kuichafua nchi. Hakuna MTU mwenye time na Lissu sasa hivi, ajipange na kusubiri 2025. Hizo mbinu zimefeli kabla ya utekelezaji!!!!
Liongo sana hilo jamaaNjama, hila na ulaghai wa Lissu umeshajulikana. Yaani kipindi chote cha kampeni hakukuwa na tishio, iweje baada ya Uchaguzi awe anatishiwa?
Asichofahamu ni kudhani alikuwa anapendwa na watanzania kumbe wananchi walikuwa wanaenda kwenye kampeni zake kumfurahisha maana alikuwa anataka Kura za huruma.
Uzuri ni kuwa hata hao Wazungu anawalilia sasa hivi wameshamfahamu kwamba ana matatizo ya kisakolojia.
sawa tumekusikia dada, bila shaka wewe ni aina ya mwanamke ambaye huwa unawaombea mabaya wanaume zako wa zamani waliokupiga chini.Ili iwe fundushisho kwa wavurugaji wote wa nyakati za sasa na zijao, moja: wahakikishe nchini hachomoki, mbili: anashitakiwa na kutiwa hatiani, na tatu: hukumu atakayopata iwe ni ya kifungo cha jela tena cha muda mrefu miaka 30.
Halafu kuna watu huko wanasema hakuna Mwenye time na Lissu aisee, hichi ni kithibitisho kua kuna watu bado wanamfuatilia Lissu na hawapendi kupingwa.Ili iwe fundushisho kwa wavurugaji wote wa nyakati za sasa na zijao, moja: wahakikishe nchini hachomoki, mbili: anashitakiwa na kutiwa hatiani, na tatu: hukumu atakayopata iwe ni ya kifungo cha jela tena cha muda mrefu miaka 30.
Unaelewa maana ya nchi?Aisee, unaelewa maana ya ubalozi wa nchi?