Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

Alikuwa ana maana kuwa tujihadhari naye asije akakuingiza mkenge ukaingia kwenye jinai wakati yeye ameshaingia mitini anakuachia msala. Inajulikana yeye tayari ana uraia wa Ubelgiji kwa hadhi ya ukimbizi sasa anataka kuhalalisha kiaina! Ili dunia ijue sasa ndiyo amepata uraia wa ukimbizi huko Ubelgiji wakati siyo kweli tangu aliporudi hapa TZ alikuwa tayari ana uraia wa Ubelgiji alikuja kuhamasisha vurugu tu ndiyo maana alikuwa anavunja sheria za uchaguzi kila mara na kwa makusudi. Yeye aende tu atuachie nchi yetu.
Yaani serikali makini ya awamu ya 5 ilikubali vipi raia wa kigeni kugombea nafasi nyeti kama ya Urais?

Kama ni kweli basi nchi ipo hatarini na zile rumors kwamba mkuu wa kaya ni raia wa Burundi inaweza ikawa kweli.
 
Hivi mtu mwenye njia ya kukudhuru anakuambia kabisa jiandae nakuja kukumaliza/kukudhuru kama unaweza jiokoe

Acheni usanii
 
Kwa yale yaliyompata Lissu ni mhimu asipuuze kitisho chochote dhidi yake. Wapuuzi mnaosema anatafuta Kiki ni nyie mnaharibu nchi.

Nchi hii ni yetu hakuna majitu mengine yajifanye yana maana na haki zaidi dhidi ya wengine.

Hakuna Ukoloni hapa ukoloni wa kuua haupo na hatuukubali.
 
Vita vya Uenyekiti Chadema vimeanza!

Lazaro Nyalandu anajiandaa kuanza kudai Chadema pesa ya pango kwny nyumba yake anayoishi Tundu!
 
Lissu na CHADEMA yake ndio wa hovyo kabisa. Hakuna matisho yoyote, ila anajitahidi kuichafua nchi. Hakuna MTU mwenye time na Lissu sasa hivi, ajipange na kusubiri 2025. Hizo mbinu zimefeli kabla ya utekelezaji!!!!
Kama hakuna tushio lolote, Serikali inaona ugumu gani kumhakikishia usalama? Kuna watu mnajulikana mmekosa busara, lakini hata akili ndogo tu nayo mmekosa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tengenezeni magaidi halafu mtafurahi wenyewe!
Yapo matukio mengi kama kule Lindi baada ya uchaguzi na kukamatwa viongozi media wamekatazwa kutangaza.

Dunia ya leo binadamu hategwi anashirikishwa.Mzee JK usikae kimya wasaidie somo upatanishi duniani.

Awamu hii itakuwa ngumu sana kwa watawalawa hawatakuwa na amani.Kuanzia mwenyekiti wa kijiji hadi Chamwino. Furaha na amani ndio nguzo ya ustawi na maendeleo ya taifa.
 
Mola akulinde daima Rais mshindi wa mioyoni mwetu.
Anapokiuka sheria lazima akamatwe na ashughuliliwe kukamatwa na askari dio uadui kwani ww ndugu zako hawajawshi kukamatwa na askari ? Walikimbilia ubaloz huyo anatafutà kick kuharibu taswira ya nchi ila serikali ikiamua hata awe ngambo la mgambo likilia Manazi mtapata habari ila awe na amani hakuna anayemfatilia kapuku wa kisiasa kama huyo.

sent from HUAWEI
 
Yaani serikali makini ya awamu ya 5 ilikubali vipi raia wa kigeni kugombea nafasi nyeti kama ya Urais?

Kama ni kweli basi nchi ipo hatarini na zile rumors kwamba mkuu wa kaya ni raia wa Burundi inaweza ikawa kweli.
Wewe ni wale wanasaccos wenye akili za nyumb kwa hiyo nitapoteza muda wangu muhimu sana kukuelewesha kwa kuwa huko kwenye saccos mmefundishwa kubisha hadi ufe!
 
Ukiona serikali iko kimya,basi ujue kuna jambo na si bure.
Kwani wewe ulikuwa hujui kuwa Lissu ni mkimbizi aishie Ubelgiji na alikuja hapa nchini kuhamasisha vurugu kwenye uchaguzi wa 2020 kwa kuambiwa na mafisadi na wezi wa rasilimali zetu na ndiyo maana alikuwa anavunja sheria za uchaguzi kila mara lakini polisi na serikali ya TZ ilimwacha tu ili watz wasio na hatia wakaumia bure.
 
Hana lolote huyo anajaribu kupata unafuu wa kurudi Ubelgiji tu anajua sasa Ubelgiji kuna lockdown hawezi kuingia kirahisi sasa anataka arudi kwao inajulikana ana uraia tayari wa Ubelgiji sasa anataka aonekane amekwenda Ubelgiji kama mkimbizi wakati alishapata uraia siku nyingi, awadanganye mbumbumbu wenzie wanasaccos.

Tunajua alikuja Tanzania kuanzisha vurugu lakini watanzania wamemnyoosha hakuna cha kuingia barabarani kama alivyokuwa ametumwa na mabeberu wake akina Robert Amsterdam. Yeye arudi tu kwao Ubelgiji hakuna aliyenashida naye!
Upupu. haya nenda kwa harakahara, mwambie tayari umefanya kazi akupe buku saba. Huna hata aibu, huo haukuwa uchaguzi, wizi wa kura mioufanya umeondoa hadhi yenu hata ile kidogo iliyokuwa imebaki. kila mtu anajua mmepora haki ya watu kuchagua.
 
Tunajua unakimbia kesi yako ya uchochezi.

Kweli uzunguuke miezi miwili ukiwa unafanya kampeni maisha yako yasiwe hatarini, leo ndio maisha yawe hatarini?

Lissu jua kuwa watanzania sio watoto wadogo tunajua unachokifanya ni kukimbia kesi yako mahakamani. Nenda kwenye kesi walio kuwekea dhamana wana hangaika, kama kweli unapenda wananchi wako basi nenda mahakamani ili walio kuwekea dhamana wajitoe.

Acha kukimbia kama mtoto this time you will eat fruits of your mouth.
 
Njama, hila na ulaghai wa Lissu umeshajulikana. Yaani kipindi chote cha kampeni hakukuwa na tishio, iweje baada ya Uchaguzi awe anatishiwa?

Asichofahamu ni kudhani alikuwa anapendwa na watanzania kumbe wananchi walikuwa wanaenda kwenye kampeni zake kumfurahisha maana alikuwa anataka Kura za huruma.

Uzuri ni kuwa hata hao Wazungu anawalilia sasa hivi wameshamfahamu kwamba ana matatizo ya kisakolojia.
Hakuna unalolijua juu ya jinsi uchaguzi ulivyofanyika! Vinginevyo umeamua tu kujitoa ufahamu ili kuiridhisha nafsi yako.
 
Hivi mwaka ule wa 2017, wakati Tundu Lissu alipotoa taarifa za aina hii hii za vitisho, je Jeshi la Polisi lilichukua hatua gani?

Je mmeshasahau kuwa siku chache baada ya kutoa taarifa hiyo ndipo akamiminiwa risasi mfululizo kwa nia ya kumuua?

Mnataka na safari hii afanye hivyo hivyo wakati wale wauaji wake hadi leo "wanafichwa" na watawala wa nchi hii?
Kwa Nchi hii ilivyo na unafiki wa wazi wazi, wahenga walisema mkuki mtamu kwa ngurue kwa binadamu mchungu, uchungu wake wote tutaupata.
 
Kuna siku wa Tz tutaona dhamani ya dhahabu wakat limekuw Jiwe.
 
Ametafuta justification ya kuhalalisha kuishi Brussels. Nani ahangaike na Lissu wakati huu ambapo hana madhara. Labda ndani ya CHADEMA huenda anatishia uenyekiti wa mtu ambapo ni sawa na uhaini.
Kwani usha pewa hizo sms ukazisoma na kujua ziliko toka?
 
jpm ni mtu katili sana lakini mnafki, wa tz naomba mniombee?!.
Tukuombee uumize wengine kisa wanakukosoa?!
Mungu atakulipa sawasawa na matendo yako hapa duniani!.
Ni katili kwa mafisadi na wezi wa raslimali zetu ambayo ni sawa kabisa ni muhimu kulinda raslimali zetu na ndiyo maana tumemchagua!
Upupu. haya nenda kwa harakahara, mwambie tayari umefanya kazi akupe buku saba. Huna hata aibu, huo haukuwa uchaguzi, wizi wa kura mioufanya umeondoa hadhi yenu hata ile kidogo iliyokuwa imebaki. kila mtu anajua mmepora haki ya watu kuchagua.
Kwanini wewe hukuiba au kuzuia huo wizi? Halafu unataka upewe nchi wakati huwezi hata kuzuia wizi!!?
 
Back
Top Bottom