Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

Tujifunze nini kwa huyo mfu wako, umesahau watu walivyoshehekea kufa kwake? Mungu ni fundi anatupenda watanzania kutuondolea yule mhutu katili na fisadi aliyewapumbaza wajinga km wewe

9. Tatizo lililopo Tanzania lipo vyamani kote, lakini sisi nani kuwapa ushauri CCM, CUF, UDP au wa namna hiyo?
 

Pumzika, unywe maji ujitafakari.



Kudhani kina Mandela wanaweza kuwa ndiyo wajinga na eti wewe ndiye uko vizuri zaidi, ni jambo la kusikitisha!

Allen Kilewella si kwa ubaya ndugu yetu huyo tatizo ni uelewa msaidieni.

Hivi alishasema asipoelewa?
 
Hata sielewi unachoandika, naona wewe ndie unayetakiwa upumzike na unywe maji ujitafakari.

Hata sijui wapi nilikwambia mimi najiona nipo vizuri, hujiamini; kumbe ndio maana umeamua kuwa mbishi bila sababu ilimradi tu utofautiane nami!

Gud day!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 

Ipo hoja moja wapi umejibu?

Umesema wapi huelewi?
 
Nyie kwa kauli hizi za kumfanya Lissu zaidi ya M/Kiti, ni kumpambanisha Lissu na M/Kiti wake.

Tambua huyo ni wale wasiomtakia mema Lissu. Kivyetu vyetu wako kabatini ndiyo maana hatuoni waandikavyo wala hatuwajibu:




Hao ndiyo wale wenye kuukaanga mbuyu ..
 
Aliyekuroga alishakufa na hata wazazi wako wanakusikitikia, nchi hii ina watu milion 60 nk bado akili yako anategemea lissu ,ni babaako, anakulisha?
 
LISSU kwangu namheshimu sana kisiasa, lakini Kwa hili la Wapalestina amechemka. Hili kilishasemwa na Mwenyezi Mungu kupitia manabii wake, kuwa Waisraeli walipewa nchi hiyo, walipomkaidi Mungu akasema atawatawanya, ikatokea wakapigwa na na. Alisema atawarejesha,alawarenesha baada ya kusota kwa makumi ya miaka wakifukuzwa kila mahali na kuuawa. Alisema wakirudi kwenye nchi yao,hakuna wa kuwatoa (Amos 9:15). Huu utabiri wa kwamba hakuna wa kuwatoa Tena kwenye nchi yao utatimia tu, hizi habari za kisiasa Wacha zikae kisiasa hazitabadili chochote kilichosemwa na Mwenyezi Mungu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
|||\\\\\\Malizia kabisa kuwa TAL ni Rais Mungu aliyetuahidi kwa ukombozi na kwamba atakayekiuka mpango wa Mungu atakufa tu! siyo utani
 
|||\\\\\\Malizia kabisa kuwa TAL ni Rais Mungu aliyetuahidi kwa ukombozi na kwamba atakayekiuka mpango wa Mungu atakufa tu! siyo utani

1. Hayo ni maudhui tofauti; yaandikie uzi wako tutachangia.

2. Maudhui ya uzi huu Yako wazi; ni wajinga tu ndiyo wanaoonekana kukereka (mno) nayo.

3. Makasiriko ya nini ndugu?

4. Si nanyi mkafanye vyema tu, Ili tukapate kuwasifia?

5. Ukiona vyaelea, vimeundwa!

6. Roho mbaya za ki Cain hizi (mangi) hazitawasaidia kwa lolote!
 

1. Serikali na vyama vya siasa Tanzania havina dini.

2. Kwanini tusiache ya dini misikitini, makanisani, majamatini, mahekaluni, masinagogini, nk, huko?

3. Kulikoni msimamo wake kukuudhi wewe bila kudhani labda na wako unamwudhi yeye au wengine?

4. Kwani wewe una umuhimu gani wapi kuudhika kwako hata kukawe issue wapi?

5. Si walisema kila mtu na apambane na hali yake?



6. Kumbuka wewe si Mungu, Shetani, Malaika au jini; wewe ni binadamu tu kama mwingine!
 
Aliyekuroga alishakufa na hata wazazi wako wanakusikitikia, nchi hii ina watu milion 60 nk bado akili yako anategemea lissu ,ni babaako, anakulisha?

Nchi hii ina watu 60m+. Kwa hakika
yeyote kukutegemea wewe kwa lolote, ni heri kumtegemea ngedere.

Bure kabisa!
 
Bora misisiemu,mbowe ataiba sana wakishika madaraka,pia sionii safu ya kutuvusha upande wa ✌️wengi matapeli Sanaa. TL hawezi simama yeye kama yeye nchi ikaenda! Fikilia Mbowe ndo PM wizi mtupuuu.

Kusema ukweli sasahivi Tz inauhaba wa viongozi makini na wenye Nia njema na Taifa,wengi wahuni na wezi.Kimsingi Kila mtu apambane na maisha yake binafsi..........kikubwa nchi Ina Amani.
 
Fulu Uenyekiti.

1. Unaona pana maudhui ya cheo au (u boss) popote kwenye title hii?

"Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa"

2. Unaona pana maudhui ya cheo au (u boss) popote kwenye mada?

3. Unaona pana maudhui ya cheo (au u boss) popote kwenye chochote kilicho ambatanishwa?

4. Kulikoni kushindwa kujikita kwenye mada na kuanzisha mengine yasiyokuwa kuwamo?

5. Kama mwadhani mko na mawazo mazuri zaidi nje kabisa ya mada, ustaarabu si kuanzisha (zenu) nyingine? Au?

6. Mambo ya kushangaza sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…