Lissu ni kirusi kibaya ndani ya CHADEMA. Wana CHADEMA tokeni usingizini, Lissu anakwenda CCM

Sikuwa naelewa athari za UCHAWA hadi nilipokutana na post hiyo hapo juu
 
..Mbowe amekitoa chama mbali.

..lakini huenda naye amechoka na hizi harakati.

..umri na uchovu ndio sababu zinazonifanya niamini ni vizuri Chadema wakapata Mwenyekiti mpya.
Nashukuru sana kwa mchango unaojenga
 
..Mbowe amekitoa chama mbali.

..lakini huenda naye amechoka na hizi harakati.

..umri na uchovu ndio sababu zinazonifanya niamini ni vizuri Chadema wakapata Mwenyekiti mpya.
When you're fighting with vampires make sure you don't turn into one of them.

Mbowe made a strategic mistakes from 2015-2021, emulating CCM. Now, he has become like one of them.

Ukweli ni lazima usemwe.​
 
Lissu akitoka CHADEMA basi ndio mwisho wake kwenye siasa za vyama. Hawezi kuishi CCM wala hakuna atakayemhitaji huko labda kama mkakati wa kummaliza kabisa - literally!

Hana compromise; hana simile katika suala lolote.
 
Hoja kama hizi ni maandalizi ya tukio lisilo haki ili kumsukuma mtu afanye maamuzi yasiyotarajiwa.

Tunawajua CCM watatumia vyombo vyake kuhakikisha Mbowe anasalia madarakani kwa maslahi ya CCM
Hayo ni mawazo yako na yana haki kusikikilizwa na kuheshimiwa pia
 
Chini ya Uenyekiti wa Lissu CHADEMA kitaimarika sana Mambo ya maridhiano na hawa CCM ni ujinga tu.

Bora Confrontational Politics kama zile za GenZ Kenya kuliko hadaa ya huyu Samia.
Mkuu kabla ya kuyadharau maamuzi ya mh Mbowe dhidi ya mama Samia angalia pia katiba yetu inaturuhusu kufanya kama kina Kenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…