Asilimia 95 ya watu wanapohitimu miaka 50 lazima wanaanza kuwa na maradhi fulani mwilini ambayo wanaweza kugundua au wasigundue, mwisho wa siku ndio yatapelekea vifo vyao kwa miaka ya mbeleni.
Kuna tetesi kwamba rais Magufuli anasaidiwa na kidhibiti mapigo ya moyo maarufu kama "Pacemaker" aliyowekewa huko ughaibuni baada ya kulishwa sumu kufuatia kubomolea watu nyumba zao alipokuwa waziri.
All in all, hakuna binadamu mzima kwa asilimia mia moja na ndio maana hakuna ajuaye ni lini anaweza kuondoka ktk dunia hii.
Nakumbuka kuelekea kwenye kampeni za mwaka 2015, Selina Kombani (Rip) alimkejeli Lowassa kuwa ikulu hakuna wodi ya kuuguza wagonjwa na leo hii Lowassa bado yuko hai lakini ni Selina Kombani ambaye hayupo duniani, hivyo ndivyo Mungu alivyo.
Jana Tundu Lissu aliweka wazi kuwa ni Magufuli ndiye aliyetoa amri wasiojulikana wakamuue!! Huenda sio miaka mingi Tundu Lissu akahudhuria mazishi ya Magufuli tofauti na labda Magufuli alivyokuwa akifikiria, kama mwanadamu.
Mungu ni wa ajabu sana na hakuna anayejua criteria wala principals anazotumia ktk utendaji wake wa kazi.
Kuna rais moja wa Marekani aliyeitwa Franklin Delano Roosevelt (Rip), huyu bwana nafikiri ndiye rais aliyeongoza hilo taifa kwa muda mrefu, miaka 12 lkn sehemu kubwa ya urais wake alitumikia akiwa kwenye Wheelchair baada ya kupooza miguu lkn watu bado walimpa kura, (Jadili).
God is very ambiguous and rather unpredictable, whatever he does whether good or bad for anyone he doesn't care but he remains God.
Kuna tetesi kwamba rais Magufuli anasaidiwa na kidhibiti mapigo ya moyo maarufu kama "Pacemaker" aliyowekewa huko ughaibuni baada ya kulishwa sumu kufuatia kubomolea watu nyumba zao alipokuwa waziri.
All in all, hakuna binadamu mzima kwa asilimia mia moja na ndio maana hakuna ajuaye ni lini anaweza kuondoka ktk dunia hii.
Nakumbuka kuelekea kwenye kampeni za mwaka 2015, Selina Kombani (Rip) alimkejeli Lowassa kuwa ikulu hakuna wodi ya kuuguza wagonjwa na leo hii Lowassa bado yuko hai lakini ni Selina Kombani ambaye hayupo duniani, hivyo ndivyo Mungu alivyo.
Jana Tundu Lissu aliweka wazi kuwa ni Magufuli ndiye aliyetoa amri wasiojulikana wakamuue!! Huenda sio miaka mingi Tundu Lissu akahudhuria mazishi ya Magufuli tofauti na labda Magufuli alivyokuwa akifikiria, kama mwanadamu.
Mungu ni wa ajabu sana na hakuna anayejua criteria wala principals anazotumia ktk utendaji wake wa kazi.
Kuna rais moja wa Marekani aliyeitwa Franklin Delano Roosevelt (Rip), huyu bwana nafikiri ndiye rais aliyeongoza hilo taifa kwa muda mrefu, miaka 12 lkn sehemu kubwa ya urais wake alitumikia akiwa kwenye Wheelchair baada ya kupooza miguu lkn watu bado walimpa kura, (Jadili).
God is very ambiguous and rather unpredictable, whatever he does whether good or bad for anyone he doesn't care but he remains God.