Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020.

Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini.

Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017. Ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake.

Amewaambia wananchi wa Lindi kuwa, kwanza alipigwa kwa amri ya Rais na kama kukimbia angekimbia alipopigwa risasi hawezi kukimbia wakati huu.
View attachment 1610143
Naomba video za mkutano wa Tundu lisu Tanga Jiji
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Hivi kuna mtu ambaye si mgonjwa? kuna mtu ambaye mwili wake unafanya kazi kwa 100% yupo?

Haya mohospital tunajenga kila siku ni kwa ajili ya nani? Ina maana mtu akienda hospital au kuonana na Dr hafai kuwa kiongozi?

Kuna watu /viongozi kila siku wako kwa madaktari wao kila kukicha wanaongozana nao, lakini ni viongozi wetu wazur tu.

Hebu fungua macho uone hilo halafu utuambie mbona hawaashindwa kutuongoza?
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
bora TL mbovu wa miguu kuliko Jiwe mbovu wa akili!.
 
Anaenda nyumbani kwake harudi huyo, acha wajifurahishe kwa kampeni ila Mbowe anajua HAKUNA rais anayeitwa tundu.
wachaaa waisome nambaaa

ccm ni ile ile na chadema ndo walewale
 
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020.

Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini.

Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017. Ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake.

Amewaambia wananchi wa Lindi kuwa, kwanza alipigwa kwa amri ya Rais na kama kukimbia angekimbia alipopigwa risasi hawezi kukimbia wakati huu.
View attachment 1610143
Lissu anazidi kumvuruga Magufuli. Yaaani umpige mtu risasi alafu utumie propaganda ya huyo mtu kuwa na ticket ya kufanya check up kutokana na ulemavu ukiomsababishia then unatumia kama mtaji wa kisiasa?????

Kweli Lissu kawashika pabaya magufuli na watu wake 😂😂😂
 
Ni kama Tumeingizwa chaka na NEC vile!! Je ikitokea amekuwa Raisi, na tarehe hiyo akaenda kumwona Dakitari wake na akamwambia Kwa Hali aliyonayo inabidi akae huko Kwa matibabu kwa miezi mitatu zaidi itakuweje majukumu yake ya Urais nchini
Akiwa Raisi hakuna shida. Tutafanya arrangement daktari wake aje Tanzania. Una swali lingine??
 
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020.

Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini.

Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017. Ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake.

Amewaambia wananchi wa Lindi kuwa, kwanza alipigwa kwa amri ya Rais na kama kukimbia angekimbia alipopigwa risasi hawezi kukimbia wakati huu.
View attachment 1610143
Sasa watu anao wahutubia hawaonekani au ndo Kama mechi za Uingereza tunawekewa Maspika uwanjani.
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Mbona aliepo mgonjwa zaidi ?! . Chezea kikombe cha loliondo !!
 
baada ya kusema hadharani, Lisu amewathibitishia watanzania kuwa hali yake bado ni tete na hivyo anapaswa kurudi hospitali mara baada ya uchaguzi mkuu,
hii inatia shaka kuwa huenda akalazwa kwa muda mrefu zaidi kuliko ilivyo kuwa hapo awali.
kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa kwa baadhi ya wapiga kura wake kutokupoteza kura zao kwake na badala yake huenda kura za lisu zikarudi kwa Mgombea wa act.
Amethibitisha ni nani aliyempiga risasi. Hii ndo hoja kuu
 
Kwa hiyo Lissu bado hajapona!!! Sasa Watanzania hawawezi kumchagua Mtanzania ambaye ni mgonjwa kuwa Rais. Jukumu la urais linahitaji Mtanzania ambaye yupo sawia kiafya ili aweze kutimiza majumuku hayo kwa ufanisi. Watanzania sasa mnasababu nyingine ya msingi ya kutokumchagua Ndugu Lissu tarehe 28/10/2020.
Wewe jamaa sikuwahi kukufikiria ktk kiwango hiki cha ujinga!! Mkuu nadhani kuna haja ujitafakar upya.
 
Kwaiyo baada ya uchaguzi akishaingiza watoto wa watu barabarani yeye Lissu atasepazake akale bata Ubelgiji kwa kisingizio cha matibabu?
 
Back
Top Bottom