Palm Tree acha kupandisha JAZIBA, acha ku - panic, twende na hoja ndugu yangu, matusi siyo tija! Sasa ni hivi, hakuna wa kushikwa kwani shahidi muhimu, shahidi nambari moja, yule DEREVA wa Lissu KAFICHWA ili kuharibu kwanza upelelezi na pili kuficha USHAHIDI NYETI. Huyo dereva wa Lissu anajua ukweli wote. This time mmeogopa kumwaga damu nyingine, mkaamua kumficha! Pia hizo risasiza ndege zilikuwa na lengo la "kuweka njia kwa Lissu" kwenda Ulaya kukamilisha hayo niliyosema hapo awali. Haya lete hoja acha matusi, na unapomtukana mwenzako unaonyesha who and how you are!
Still bado unaongea "ujinga" tu kwa sababu ni "mjinga"..
"Ujinga" na kuwa "mjinga" wala siyo tusi na kwa hiyo usije fikiri kuwa nakutukana ila ukweli ni kuwa wewe ndivyo ulivyo, yaani...MJINGA..
"Ujinga" ni "attribute" ya kitu ama mtu ikiwa na maana kuwa, isiyo ama asiye na uelewa ama ufahamu wa jambo fulani..
Huyo mtu ni wewe..
By the way;
Unafahamu kuwa Tanzania ni mwanachama wa INTERPOL? Hiki ni kifupi cha maneno "International Police"..
Na unafahamu kweli wewe kuwa Ubelgiji ni mshirika wa maendeleo wa Tanzania?
Na je, unafahamu kuwa Tanzania ina uhusiano wa kibalozi na Ubelgiji?
Kitu gani kinaishinda serikali kupitia jeshi la polisi kuagiza nchi ya Ubelgiji imlete huyo dereva kama inamhitaji kweli?
Kitu gani kimeishinda serikali kupitia jeshi la polisi kwenda hukohuko kumhojia huyo dereva kama wanadhani ni shahidi muhimu kama unavyodai?
Huyo dereva kama ulivyosema ni shahidi tu...
Je, unajua kuwa "victim" ama muathirika mwenyewe wa tukio hilo baya kabisa kutokea nchini kwetu yupo hapa nchini?
Hebu iulize serikali yako kupitia Jeshi la polisi, imemhoji? Kama HAPANA, waulize kwa nini?..
Unajua nini?
To some extent ninaweza kukubaliana na wewe kuwa dereva ni shahidi muhimu sana kwa pande zote yaani Tundu Lissu ama serikali..
Dereva anahitajika na serikali kama kichaka tu na kwa nia ovu..
Nakuhakikishia akifika kienyeji tu leo ama kesho, huyo atauwawa mara moja kufunika ushahidi dhidi ya Magufuli..!!
Uzuri wa jambo hili ni huu: JINAI HAIOZI ama HAIFI. Nakuhakikishia wote walioitenda jinai hii SOONER or LATER watalipia dhambi hii..!
Ndiyo maana mimi nakuona wewe ni mjinga tu na unajitaji kuelimishwa kuondoa huo ujinga wako..
Aidha, sisi wengine siyo wajinga na pengine wapumbavu kama wewe na wenzako huko..
Jibu la maswali haya yote ni moja tu..
KWAMBA; MUUAJI HAWEZI KUJICHUNGUZA NA KUJICHUKULIA HATUA ZA KISHERIA MWENYEWE..!!
Kama mpaka hapo hujanielewa, basi mimi sina msaada tena wa maelezo ya ziada kwako. Otherwise, endelea kuwa mjinga tu kwa kushindwa kutumia bongo yako vyema kufikiri..!!