assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Amini usiamini, Tanzania itakuwa kwenye taharuki kubwa ikiwa Tume itapuuzia kuendesha uchaguzi huru na wa haki.
Nikimaanisha kuwapa haki mawakala wa vyama vyote haki ya kuingia vituoni na kuwapa nakala ya matokeo, wakipuuza tume Mambo haya mawili Kuna hatari kubwa inakuja.
Tazama what happened at Kiluvya? Msichukue kiurahisi Mambo haya.
Nimefikisha
Nikimaanisha kuwapa haki mawakala wa vyama vyote haki ya kuingia vituoni na kuwapa nakala ya matokeo, wakipuuza tume Mambo haya mawili Kuna hatari kubwa inakuja.
Tazama what happened at Kiluvya? Msichukue kiurahisi Mambo haya.
Nimefikisha