Uchaguzi 2020 Lissu ni mtu jasiri, jaribio lolote la kuiba kura zake litaleta shida

Wasipo fanya hivyo watasitahili kuitwa ni tume ambayo haiko huru
 
CCM lazima waibe kura, na Wana mbinu nyingi.

Saivi wanakusanya ID za kura hasa za akina mama, wanachukua kopi, wanasema watazitumia kuwapa mikopo. Inasemekana hizo zinatumika kwa ajili ya kura za vituo hewa vya kupigia kura vya chama.
CCM si ni kipenzi cha wanyonge sasa kwanini wanahangaika kuiba kura tena?
 
Ukweli mtupu.
 
Kuiba, kuiba kuiba! Nani kasema ataibiwa mpuuzi wewe? Kuna mambo munayakuza bila sababu. Kwani chama hakina wasimamizi? Hawana pesa za kuwalipa mawakala? Hawana mawakala waaminifu kulinda kura? kama yote hayo hayawezekani, kwa nini wameingia kwenye uchaguzi. Unawezaje kuanza mchezo bila kujua matatizo ya mchezo. Kama hawana pesa watajiju kwani miaka yote hiyo ruzuku walipewa ya nini?

Acha kabisa kubuni matukio yajayo. Kama ni kuibiwa ni uzembe wao. Taratibu zote zimewekwa kama mbinu za kuzuia matukio kama hayo. wewe unaanza kutishia na majigambo ya kibwege tena!
 
Mnaanza kujishtukia,akuna mtu wa kuibiwa kura kila chama kitakuwa na mawakala kuanzia ngazi za vituo mpaka wilayani/mikoani kwenye majumuisho.
sema mshaona upepo mbaya kwa Lissu mnatengeneza visingizio mapema.
 
Tatizo mmeamua kuamini kwamba raia kwenye kampeni za ccm wanafwata wasanii. Ila kila kitu kiko wazi jpm ana wafuasi wengi sana.
Hahah kwny mikutano yenu acheni kwenda na wakina Diamond,msiwalazimishe wafanyakazi wa serikali waje kwny mikutano yenu,msizifunge shule ili mjaze watoto wa shule kwny mikutano na msikodi ma-bus,lorry kwenda kusomba watu muone kama mtapata hata watu 100.
 
Lissu ana mtindio wa ubongo, na kashajikatia tamaa. Hizo purukushani afanyazo ni utopolo tu, naye anajua hawezi kushinda maana watanzania washamdharau kabisa.
 
Panzi ni wewe ulietaka watu wafanye vurugu ili mpate sababu ya kumuweka Lissu ndani.
 
Dah!...mpaka leo kuna watu bado wanasombwa kujaza mikutano? Au wanalipwa?
 
Lissu ana mtindio wa ubongo, na kashajikatia tamaa. Hizo purukushani afanyazo ni utopolo tu, naye anajua hawezi kushinda maana watanzania washamdharau kabisa.
Waache kudharau wale wanaotumia madaraka yao vibaya wamdharau mtu asie na kosa!!
 
hakuna wa kumwibia yeye asubiri uhakisia
 
Bavicha kwa kujifariji, hivi mwenyekiti kajichimbia wapi?
 
Mnaanza kujishtukia,akuna mtu wa kuibiwa kura kila chama kitakuwa na mawakala kuanzia ngazi za vituo mpaka wilayani/mikoani kwenye majumuisho.
sema mshaona upepo mbaya kwa Lissu mnatengeneza visingizio mapema.
Kura zenyewe za kuibiwa ziko wapi?. Wao kila chaguzi wanaibiwa tu, tangu Mbowe, Slaa, lowasa.
 
moyon unaujua ukweli lakin....hiko ndo cha muhimu
 
Dah!...mpaka leo kuna watu bado wanasombwa kujaza mikutano? Au wanalipwa?
Wanabebwa kama kawa mzee baba,kuna wilaya huko unajiandikisha kwenda kwny mkutano wa Wajomba unapewa na mifuko mitatu ya mbolea ili ukajaze mafuriko.
 
Kura zenyewe za kuibiwa ziko wapi?. Wao kila chaguzi wanaibiwa tu, tangu Mbowe, Slaa, lowasa.
Nikulipe mshahara,nikujazie gari mafuta,posho ya nyumba nikupe na umtangaze mpinzani ni mshindi hiiiiiiiiiiiiiiii,yayaaaa geteeeeeeeee.
 
Tume na ihakikishe kweli wanatenda haki, Hatwezi kuendelea kuhubiri amani kama hatutendi haki! Pasipo na haki huwa hapana amani na hata ikiwepo ni ya bandia tu kwani msingi wa amani ni haki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…