Uchaguzi 2020 Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru

Mgombea wetu anatetea magaidi? Maana wanatuhumiwa kufanya ugaidi Zanznibar, mwaka huu chama chetu kimechemka sana.
Ushahidi unao kwanini hamuweleki mahakamani ikiwa ni magaidi?

Dhulma haitawaaccha salama.
 
Nilipinga mahakama kuingiliwa wakati Lowasa anaahidi kumuachia Seya na wanae.

Nikapinga kuingiliwa mahakama Magufuli alivyowaachia Seya na wanae.

Ninapinga kuingiliwa kwa mahakama Tundu anavyoahidi kuingilia maamuzi ya mahakama.
 
Uamsho tawi la Msumbiji wameingia Mtwara, sasa Lissu akiwaachia wenzao wa Zanzibar hali itakuwaje, anadhani Singida ni mbali, oh nimekumbuka yeye ana uraia wa Ubelgiji kikinuka hapa yeye anachukua gulf stream huyooo Brussels
 
Ukiwa kichaa kabisa kabisa, unaweza kumpigia kura Ndugu.
Ukiwa na akili timamu unaweza kumpigia kura Dkt. JPM.
Bloodsucker hutu!Period
Magufuli Haiwezi kuwa Raise kwa kuchaguliwa na wananchi!
 
Umeshawaza kwanini ccm hawawezi kuizungumzia hii ishu?
 
Umeleta Uzi alafu unakuwa mtu wa pili Ku comment baada ya kuanzisha Uzi.
Vituko!
Cha ajabu kiko wapi?, Acha wivu sheikh.

Basi leta Uzi wako, halafu uwe watatu kucomment![emoji851] unakuwa na roho mbaya kama wanachama wa kijani bana[emoji23][emoji851][emoji23][emoji851]. Nimemsaidia kukujibu, bila shaka ameona haina haja ya kukujibu[emoji41]
 
Hata Lowasa alisemaga hivyo hivyo
 
Uamsho tawi la Msumbiji wameingia Mtwara, sasa Lissu akiwaachia wenzao wa Zanzibar hali itakuwaje, anadhani Singida ni mbali, oh nimekumbuka yeye ana uraia wa Ubelgiji kikinuka hapa yeye anachukua gulf stream huyooo Brussels
Ishu sio kuwaachiwa ishu ni kuhukumiwa haijalishi hukumu gani, pili zanzibar ni nchi kwanini hawafungwi kwao?
 
Babu seya alihukumiwa kipindi cha awamu ya 4 lakini alimtoa
 
 
Bloodsucker hutu!Period
Magufuli Haiwezi kuwa Raise kwa kuchaguliwa na wananchi!

Mkuu meza viwembe, huyo ndiye rais wa awamu ya TANO. Jiondolee mateso uliyonayo..
 
haswaa huyo mramba viatu vya mabeberu
Mashekhe wenu wengi wanawaangusha, wakopewa ubwabwa na watawala washawishi waumini waipigie kura ccm, rejea Shekhe wa Dar

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…