Kamarada
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 253
- 161
Magufuli nusu muhula umemtosha, akijaribu kulazimisha atabaki Yeye na familia yake kwenye vizimba vya mahakama za kimataifa.
28 Oct is loading...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli nusu muhula umemtosha, akijaribu kulazimisha atabaki Yeye na familia yake kwenye vizimba vya mahakama za kimataifa.
Ameijibu kjinga sana pale Kawe. Akasema magaidi hata kule USA wameshikiliwa Guantanamo mbona hamsemi?Hivi hii hoja Magufuli aliwahi kuijibu popote?
Unadhibiti kwa kupoka haki za watu??Tangu wamekamatwa mambo ya uamsho yakakoma kabisa Zanzibar. Badala ya Lisu asifu hali mbaya ilivyofanikiwa kudhibitiwa yeye anaona walionewa. Hebu chukulia mfano ile hali isingedhibiwa huko Zanzibar unafikiri leo hii Lisu angesemaje. Lisu anaeleweka na genge tu la wahuni wafuata upepo basi.
MAGUFULI4LIFE.
lissu huna akili hivi jakaya kawaacha humo ndani na walikamatwa kipindi chake na yeye ni muislamu mwenzao wewe na upuuzi wako hujui hta kuomba kura unafikiri ndiyo njia ya kupatia kura hiyo? honi sasa zanzibar imetulia? wana kesi ya kujibu hao usifikiri watu hawajui wewe pekeyako ndiyo hujui au unajua akini unajitoa akili tu
Kama unawaita watuhumiwaMgombea wetu anatetea magaidi? Maana wanatuhumiwa kufanya ugaidi Zanznibar, mwaka huu chama chetu kimechemka sana.
Ili taratibu zote za kisheria na kimahakama zifatwe.kwann iwe siku 100 na sio siku moja
Is it illegal?!Anataka kura za huruma toka jamii ya Waislam..
Utakuwa unaingilia uhuru wa Mahakama! Halafu AHADI nyingine ni KUJIPENDEKEZA tu wakati unajua fika kuwa kuna mihili tofauti kwa masuala tofauti. Au ni ushauri wa Bob Amsterdam kuwa useme "the impossible" na uongo kwa nia na lengo la kutafuta umaarufu wa haraka haraka!?View attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Mleta mada kasema nini? Lissu kasema siku 100 za mwanzo mashekh wa uamsho kuachiwa, ndio kichwa cha habari au kuna mengine alisema na wengine kama alisema basi hakuna katika uzi huuKwa nini unadhani sijakuelewa?
Kwani Tundu Lissu kasema watoke hao tuu, wengine wasitoke?
Maana mashekh amekuwa specific ila kusema na hao wengine, wengine kina nani?Kwa nini unadhani sijakuelewa?
Kwani Tundu Lissu kasema watoke hao tuu, wengine wasitoke?
uhuru wa mahakama ipi?uliwahi kuwaona mahakamani hao mashekhe?hata hujui unaandika nini. Hivi unajua kama hilo jambo bado lipo kwenye mhimili wa Executive?ambao mkuu wake ni rais?Utakuwa unaingilia uhuru wa Mahakama! Halafu AHADI nyingine ni KUJIPENDEKEZA tu wakati unajua fika kuwa kuna mihili tofauti kwa masuala tofauti. Au ni ushauri wa Bob Amsterdam kuwa useme "the impossible" na uongo kwa nia na lengo la kutafuta umaarufu wa haraka haraka!?
Nimekuuliza hili swali hujalijibu.Mleta mada kasema nini? Lissu kasema siku 100 za mwanzo mashekh wa uamsho kuachiwa, ndio kichwa cha habari au kuna mengine alisema na wengine kama alisema basi hakuna katika uzi huu
Hivi wakishinda kisha wasipowakuta huko watafanya nini? Naomba watujibie hilo."Nikishinda... na kule Bara nna uhakika atashinda Lissu... atanrudishia watu wangu" Maalim Seif. Hao Masheikh hakuna mtu ndani ya sisiemu anawazungumzia!
Kasema specific mashekh wa uamsho na wengine sasa nauliza hao wengine kina nani na anawajuaje hao wengine huko tunaelekea kulekule kwa kina Babu Seya. hii ni kutafuta points tu ila kama asingetaja kikundi chochote na kuongelea kiujumla system yote ya watu kukamatwa bila kufungulia kesi halafu ndio angechambua ni kina nani na nani.Nimekuuliza hili swali hujalijibu.
Sijui hujaliona. Sijui umeliona umeliogopa.
Narudia tena.
Kwani Tundu Lissu kasema watoke hao tuu, wengine wasitoke?
wewe usipomkuta ndugu yako aliyewekwa mahabusu utafanya niniHivi wakishinda kisha wasipowakuta huko watafanya nini? Naomba watujibie hilo.
Kama hujui kusoma kaa kimya.Kama unawaita watuhumiwa
Iweje unawazungumzia kama ni wahalifu
Mtuhumiwa si mhalifu ana haki ya kuwa huru kama raia wengine.
Ana haki ya kujitetea na kutetewa.
Unless umeingia Dar juzi, hao masheikh wamekuwa wakifika Kisutu mara nyingi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kama liko kwenye Executive, Mahakamani walikuwa wakipelekwa kufanya nini? Kusalimia?uhuru wa mahakama ipi?uliwahi kuwaona mahakamani hao mashekhe?hata hujui unaandika nini. Hivi unajua kama hilo jambo bado lipo kwenye mhimili wa Executive?ambao mkuu wake ni rais?
Nikuulize wewe unayeleta hoja ya wengine.Maana mashekh amekuwa specific ila kusema na hao wengine, wengine kina nani?