Uchaguzi 2020 Lissu: Nikishindwa kwa haki nitakuwa wa kwanza kujitangaza

Nyinyi vurugeni amani halafu mseme watu wengine. Nawaambia pakiharibika huyo Lisu au Mbowe hamtawaina hata siku moja. Vurugeni nyumba yenu ukitaraji jirani akusaidie.
 
Umeona Sasa.
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya. Chakushangaza baada ya matokeo watadai wameibiwa kura.
Hahahaa
 
Atawaingiza watu barabarani? Kwa maslahi ya nini?

Hao watu atakaowaingiza barabarani ni wakina nani?

Ngoja tuone...



Cc: mahondaw
 
hahahaha dah Aisee nimecheka sana ivi iyo ya kumfufua Amina Chifupa imekaaje? kiukweli hafai
 
Majibu yaliyojaa weledi na busara..👍

Mbona nyie ccm pamoja na kuonesha wazi mtashindwa, lakini hamna matusi na kejeli kama ilivyo upande wa 'ushindi'??
Why!
 
Lissu ameshasema mara kadhaa kwamba akishindwa kwa haki atakubali matokeo! Sasa wananchi tunataka kumsikia na mgombea wa CCM jr akishindwa atakubali matokeo???
 
Majibu yaliyojaa weledi na busara..👍

Mbona nyie ccm pamoja na kuonesha wazi mtashindwa, lakini hamna matusi na kejeli kama ilivyo upande wa 'ushindi'??
Why!
Mashoga poleni sana! CCM hawawezi kuhojiana na genge LA mashoga
 
Mwambieni asisahau kumeza vidonge vya kuzibua valve za moyo. Maana imefikia hatua Sasa Jakaya anamuombea kura "in absentia" utadhani ni mfungwa au mkimbizi wa kisiasa.
Mwambie Huyo shoga, ana bwana yake anaedanganya umma kuwa ni wakili wake, ikulu haendi, wazungu watamtumia sana, nchii ski ya kishoga
 
Mwambie Huyo shoga, ana bwana yake anaedanganya umma kuwa ni wakili wake, ikulu haendi, wazungu watamtumia sana, nchii ski ya kishoga
Hoja mfu. Sasa ndiye kawashika pabaya mpk jiwe sukari inashuka qnaamua kupumzika.
 
Mbona hayati alishawaambia nchi hawezi kupewa mtu kwamakaratasi?
Huyo hayati ni MUNGU? Kwanza umesha sema kwa sasa ni marehemu, ana uwezo gani kwa sasa kupangia walio hai?
 
Ashindwe mara ya ngapi?

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…