chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
Kuwa na akiba ya maneno, tarehe 31, mashoga mtazima simuImba uimbavyo uzushi wako huu, lkn watanzania wamemkubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na akiba ya maneno, tarehe 31, mashoga mtazima simuImba uimbavyo uzushi wako huu, lkn watanzania wamemkubali
Tarehe 31, Oct nitapeleka posa ya kumuoa shoga lissuHoja mfu. Sasa ndiye kawashika pabaya mpk jiwe sukari inashuka qnaamua kupumzik
Kwanza Magu ambaye alikua amepewa resources zote nchini ametufanyia nini ?mbunge sio kazi yake yakuchukua resources toka serikalini nakwamua hapa tujenga flayover ,barabara au tuwapige raia kwakununua videnge bila kufwata procument process.Huyo unampigia debe muongo hafai.Alisema atanunua electric train hata bila aibu hana reli,atanunua videge 12 vya kubeba abiria,ameshindawa hata kujenga kanisa lake watu wanaolowa na mvua sasa leo anataka ubunge.NO abakie huko huko ili aendelee kutafuna kondoo zake.Amelifanyia nn Jimbo la kawe kwa miaka 10? Hiyo ndo hoja. Kama hakuna alichofanya ni sawa tu. Sasa Kwann unazunguka ndugu?
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Sijampigia mtu debe hapa. Nimeuliza tu mbunge wetu wa kawe katufanyia nini kwa miaka 10? Hili swali toka jana halijapata majibu bado. Na ninahisi mpaka tutaenda kupiga kura hili swali halitakua na majibu.Kwanza Magu ambaye alikua amepewa resources zote nchini ametufanyia nini ?mbunge sio kazi yake yakuchukua resources toka serikalini nakwamua hapa tujenga flayover ,barabara au tuwapige raia kwakununua videnge bila kufwata procument process.Huyo unampigia debe muongo hafai.Alisema atanunua electric train hata bila aibu hana reli,atanunua videge 12 vya kubeba abiria,ameshindawa hata kujenga kanisa lake watu wanaolowa na mvua sasa leo anataka ubunge.NO abakie huko huko ili aendelee kutafuna kondoo zake.
Nani kasema atajitangaza, Elewa lughaHuruhusiwi kujitangaza kwa lolote, iwe ushindi au kushindwa. Fuata sheria.
Shida tayari unalo jibu lako wakati unauliza ili ufanye comapare ndiyo inakuwa shinda mtu wa poor reasoning ability ...ndiyo main challange ya vijana wakijani you dont think out of the box.Au niambie wewe perfomance measurement ya mbunge baada ya miaka mitano ni ipi ili ni reboot kichwaa chako vizuri???Sijampigia mtu debe hapa. Nimeuliza tu mbunge wetu wa kawe katufanyia nini kwa miaka 10? Hili swali toka jana halijapata majibu bado. Na ninahisi mpaka tutaenda kupiga kura hili swali halitakua na majibu.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Watu wanaojitokeza kwenye mikutano ni wakwako? Tuanzie hapo KwanzaWatu wenyewe wa kuingiza barabarani anao? Tuanzie hapo kwanza
Ha ha ha haaaaa. Kwahiyo mnadhani kila anayekuja kwenye mikutano ya Lissu hana akili?Watu wanaojitokeza kwenye mikutano ni wakwako? Tuanzie hapo Kwanza
Wanazo akili sana tuu ndiyo maana hawaendi kumuangali Mondi wakati anakata mauno wanakuja kwa Mh Lissu kusikiliza hoja tuu nakusepaHa ha ha haaaaa. Kwahiyo mnadhani kila anayekuja kwenye mikutano ya Lissu hana akili?
Unakumutwa weweLisu huyu huyu aliyeamuru barabara ifungwe ndio atajitangaza kushindwa??
Tufunge maswali yako ya kipumbavu na ujinga na link hiyo.....kama unayo data tazama hiyo compilation.Mumezoea uongo kama Mugu weni.bullshitMkuu sijauliza kazi za mbunge, nimetaka kujua tu alichotekeleza mbunge wetu wa kawe kwa kipindi cha miaka 10 Ili tumpe tena miaka 5. Mbona unatumia nguvu nyingi sana kuelezea kitu ambacho sijauliza.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app