Dr Bill
JF-Expert Member
- Aug 26, 2020
- 463
- 436
Lissu ni Nani Ampangie Magufuli cha kuongea au Kufanya EBU KUWENI NA ADABU KWA RAIS WA NCHI ivi ni lazima ujinga wenu muutangaze mitandaona.Magufuli sio size ya LISSU size ni Yule mzeee Wa ubwabwa Hashim Rungwe. Tena MKOME PUMBAVU KUMAFANISHA RAIS NA WATU WASIO NA ADABU KWA NCHI YETUHii sio Mara ya kwanza kwa Lisu kutamka hivyo,,tunachotaka sasa aje na kauli ya kumtaka mgombea wa ccm aji commit kukubali matokeo ya kushindwa pindi akishindwa uchaguzi na akabidhi madaraka kwa amani Kama ilivyo desturi ya Watanzania,la sivyo akikaidi awe tayari kulazimishwa kuondoka kwa njia mbalimbali ikiwemo maandamano na aje ku face the quencequences,huwezi msamehe mtu mkaidi
Lissu ni Muhuni Kama Wahuni wengine.
HATUWEZI KABIDH NCHI KWA WAHUNI NA MASHOGA