Mpumbavu wewe
PHD zote ni fulltime ajira wewe
Hakuna kusoma for the sake of high IQ,ni ajira
Ajira anafanya yeyote mwenye minimum qualifications
Hakuna mtu smart anaenda kupoteza muda kusoma PHD kama ajira
Wote wanaosoma PHD ukiangalia GPA zao za undergraduate ni upumbavu
The highest GPA attainers undergrad hawa opt kwenda kusoma PHD,hua wanaenda kwenye formal ajira au biashara
Majinga yaliyopata GPA za kawaida yaanaamua kusoma mpaka uzeeni kutafuta PHD kufidia their lack of intelect yaanze kutembea na title ya Dr. wakati marks zao za zamani kuanzia sekondari ni minimum tu!
Nenda huko,kadanganye mapumbavu menzio yaliyokua na marks ndogo kule undergrad!