Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Kwahiyo kwasasa tumeuzwa kwa wachina na yeye anataka kutuuza kwa wazungu?
 
Kwani hujamsikia mwenyekiti akisema wanabadili ratiba kwa leo ili kuongelea mstakabali mzima wa uchaguzi na enguaengua ya wapinzani?
Basi kipindi hicho nilikuwa naangalia TBC. Maana TBC mbowe hajaonyeshwa akiongea.
 
Tumechangizwa kilazima
Bonyeza nyota 150 reli, chagua 4
 
Magufuli 2015 alisema kwann wamchague yeye na si lowasa.
Rudi darasani utaelimika
 
Nimemuelewa. Binafsi nilitaka kusikia pia yeye atafanya nini ili kuweka mazingira mazuri kwa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania ?

Hivi wewe kwa akili yako unadhani Lissu ni wa kushindwa kutamka kauli moja tu kuwa "ataboresha maslahi ya watumishi wa umma?"

Ni kwa sababu uchaguzi huu umeshakuwa useless, wakiengua wagombea wako 50 maana yake ni kwamba there is no way unaweza kuwa na wabunge majority na maana yake huwezi kutoa waziri mkuu kwa kuwa waziri mkuu inabidi atoke kwenye chama kilichoshinda wabunge wengi.

Yaani kunadi sera ni kupoteza muda tu, hakuna uchaguzi
 
Mkuu ccm haiondolewi kwa sera,Chadema wamekuwa na sera nzuri kila Mara Ila watanzania hawa wamekuwa wakiibiwa kura zao, La msingi alilosema ni hilo la kuanze maandamano mdogo mdogo nchi nzima ili kudai haki yetu.,Moto ukikolea ndo kwaheri ccm then kunakaa mezani kujadili habari ya sera
 
Campaign is a MARATHON and not a SPRINT VIctoire, We still have 2 months to go before the end game provided that those figisu figisu wanazofanyiwa Chadema na ACT are eliminated otherwise expect and prepare for the worse election that we have seen in our lifetime and there is a possibility so many Tanzanians in Mainland and Island will lose their lives.

Basi hata wangegusia maana ndo lengo la mikutano. Kuweka sera zako juu ya Tanzania ya maendeleo.
 
Hapo kwenye maandamano ndo pagumu. Watanzania hawawezi kuandamana.
 
Hahahaaa
Ni kama tu umetoka naye mnalipa room mnavua nguo unaishia kufanya eti love play . Halafu unamwambia sijajipanga tukionana otaona mavitu yangu dear!

Hii Kanuni Mabaharia haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…