Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Katoa sababu ya kuongea alichokiongea, hotuba aliyoiandika yenye kurasa 24 za sera bado hajaisoma.First impression matters...kabugi...tutajua huko mbele ataongea sasa sababu wananchi wamemlazimisha aongee atafanya nini...angeanza na mwanzo walau...
Tusubiri na kesho tuone atasema nini..