Kwani wanaccm mnachagua sera au chama?just askingHakuna kitu humo zaidi ya mihemko
Uchaguzi wa mwaka huu utakua mwepesi sana
Tulimwambia aache pupa wananchi washamchoka tayari, yaani msafara wake ulikuwa na madari ya wabunge wa chadema tupu watu kiduchu yaani Hadi aibu, mie namgonja uncle Hashim tule maulidi,Mm pia nilitegemea hilo, kwa kawaida siku ya kwanza ya ufunguzi wananchi wanakua na shauku au morali ya kusikia mgombea atawafanyia nn kama wakimchagua kwenye nafasi husika, kwa hili leo cdm imedhihirisha inakwenda kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mwaka huu
Atashinda kwa 80%Binafsi simpi kura yangu.Hata akishinda sitajuta. Najua miaka 5 mingine na Baba Suzanne itakuwa migumu sana.
sasa mbona mnaogopa uchaguzi? nendeni kwenye sanduku la kura mkapambane huko na "vidume"!Acha hizo!! Hii mechi hatashinda mnafikiri watz ni wa mchezo mchezo!! Tayari wameshaanza kuwapa za kichwa tena Mbagala mmeshindwa kujaza uwanja!!!
Hapo kwenye maandamano ndo pagumu. Je watu wataitikia ?Watanzania tunavyoogopa kipigo cha mbwa koko.
Mbona inajulikana tu tangu zamani, wewe lazima uchangie SACOS ya ukoo wenu.Binafsi simpi kura yangu.Hata akishinda sitajuta. Najua miaka 5 mingine na Baba Suzanne itakuwa migumu sana.
Yaani Hashim kwa dalili amefanya vizuri kuliko CDM.. anarelate na Umma. Generally unaona kuna shida (Kama hii ya ukosefu was mlo mzuri) ameiona na ana mkakati wa kuitatua Hata kabla ya ofisi. Anatia moyo.Tulimwambia aache pupa wananchi washamchoka tayari, yaani msafara wake ulikuwa na madari ya wabunge wa chadema tupu watu kiduchu yaani Hadi aibu, mie namgonja uncle Hashim tule maulidi,
Halafu wale wadogo wa Hai wanamsubiri wambebee mabango kule singida Yuko kaka athuman, fundi wa meno.Mimi nilitegemea leo ndio siku ya kuzindua kampeni na sera,!
Hebu chadema twambieni kulikuwa na nini leo Mbagala?
Shida inakuja ilani yote ..unayojaribu kuizindua mwenzako anaitekeleza tayari. Like clearly ..unahisi watasema Nini kipya! Ambacho CCM haijafanya!?Mimi nilitegemea leo ndio siku ya kuzindua kampeni na sera,!
Hebu chadema twambieni kulikuwa na nini leo Mbagala?
Ni opposite ya Mgombea wa sasa aliyewekwa na Chadema kwa kuanzia...zipo sifa nyingine.Presidential material ni mtu wa aina gani?
Amesema haongei leoLissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Mabeberu wanajulikana na Jumuiya ya Kimataifa inajulikana...usitake kuhamisha magoli muda huu wa dakika za lala salama. Ha ha ha haaa!Jumuiya ya kimataifa hii mnayoita mabeberu ndio unalaumu anatukosanisha nayo?? Nilidhani mnasema hatuhitaji mabeberu.
Warned na nyie utopolo subirieni ndo kwanza mziki unaanzaDada unafeli sana...
Huna masikio?
Kasema leo ni kupeana maelekezo way forward,hawezi toa sera wakati more than 100 candidates are down......
Sera ya leo ni maandamano nchi nzima wagombea wetu warudishwe.....
Kwa kifupi hakuna uchaguzi bila vurugu kuanza....
Ni candicates wetu 100 warudi,hiyo ndio hoja ya leo....
You have been warned!
Biashara asubuhi kijanaSiku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa