4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Ccm hamuishi vituko, nyie si ndo mnataka Mbowe, mpaka mwamtungia kesi ya ajabu, Sasa kaeni nae Cha msingi awe salama ,Ndugu zangu,
Ama kweli "kikulachi ki nguoni mwako" japo wanazungumza kama wanesusa lakini wana ajenda kubwa dhidi ya Mbowe.
Ukitafakari kwa makini kauli yao "Chadema haotomdhamini Mbowe" kuna kitu utagundua naam wamemchoka, hawataki atoke korokoroni, wanatamani Lissu ashike usukani.
Kuna vita kubwa "ndani ya Chadema" muda si muda watanyukana hadharani.
Sawa tu...Nadhani wametoa go ahead kwa polisi wammalize Mboye
Nchi za wenzenu zipi?
Marekani Republicans wanapambana usiku na mchana kuzuia watu weusi wasipige kura.Kuna maandamano mengi dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi.Trump alikiwa impeached kwa sababu gani kama sio siasa kama hizi tu.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa katika mtandao wa Kijamii wa “Club House” katika chumba kilichofunguliwa na CHADEMA cha “Mashtaka ya Ugaidi ya Mbowe na Katiba Mpya” amesema CHADEMA haitashiriki katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe
Amesema “Hatutaandika barua ya kuomba dhamana, wala yeye hataomba. Mwenyekiti hatatoa ushirikiano wa aina yoyote, sio Polisi sio Mahakamani. Waamue wao wanataka kumfanya nini”
Ameongeza, “Wakikaa naye wajue hii kelele itakuwa kubwa. Wamuachie menyewe, wakimuachia kwa masharti ya kurudi Polisi siku nyingine hatarudi. Na wakimuachia atarudi Mwanza kwenye Kongamano”
Amesisitiza, “Kama wanamuachia waamue wenyewe, na wamuachie bila masharti yoyote. Sisi hatutashiriki kwa lolote katika kesi hii tunayojua ni ya kijinga”
Awali, Lissu alieleza kuwa kabla ya Mbowe kwenda Mwanza walizungumza naye na kusema tabia ya Polisi kuwakama, kukaa nao kwa muda na kisha kuwaachia kwa masharti ya kurudi kuripoti Kituo cha Polisi kila mara wamechoka na sasa hawatakubali.
Hapana.Hivi unaijua njaa wewe????
Una kiherehere kama mke wa mjumbe wa nyuma kumi! Kila post Una jibu Wewe tu?! Subiri upepo ugeuke mashambulizi yaanze kuelekezwa huko kwenye #usukumagang!Yuko....
Yuko mitandaoni....
Anaandamana mitandaoni 🤣
#KaziInaendelea
🤣🤣Una kiherehere kama mke wa mjumbe wa nyuma kumi! Kila post Una jibu Wewe tu?! Subiri upepo ugeuke mashambulizi yaanze kuelekezwa huko kwenye #usukumagang!
Kwani kuku describe wewe Bwabwa ni Matusi ?Mzee wa Matusi ulikuwa wapi kaka?!!
Nilitegemea kupotea KWAKO utanijia na MATUSI MAPYA...[emoji1787]
TUPO MKUU WANGU
#KaziInaendelea
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiAmaniYaTanzania
#MzigoNiUtulivuWaTanzania
Hata mtoto ukimchapa mara kwa mara bila kosa anachoka na anakuwa suguKwahiyo anatuambia Nini? Wamemsusa auu?
Watajijua wenyewe
Acha unafiki nawewe.Lissu hapo umenena kweli japo umekosea hujatangaza maandamano