kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Hivi vitivii vya udaku udaku online TV vinaharibu sana uwezo wa vijana wetu kufikiri. Wanaona kudai katiba na haki havina maana wanataka mbowe na lisu wakimbizane na mademu wa bongomuvi!! Wanachojua ni umbea mitandaoni tukiendelea hivi tutakuwa na vijana machawa na wambea wenzetu nchi zilizo na Dira zinasaidia vijana wao kuwa conscious na ahead na teknology na important details za dunia. Hii sio utani kumbuka mtoto umleavyo... Lazima hizi TV zipewe mwelekeo wa taifa letu nazipite humo ama zifungwe shwain!!
Vijana hawawezi Ku- argue vitu vya msingi kitaifa wanabishania gari la mtu mwezii mzima? STUPID NONSENSE!!!
Vijana hawawezi Ku- argue vitu vya msingi kitaifa wanabishania gari la mtu mwezii mzima? STUPID NONSENSE!!!