Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Safi kabisa alichofanyaSoma alama.
Mbowe kawanyima ushirikiano polisi ndio maana haruhusiwi kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake.
Siyo ajabu hata chakula hali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa alichofanyaSoma alama.
Mbowe kawanyima ushirikiano polisi ndio maana haruhusiwi kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake.
Siyo ajabu hata chakula hali.
... ubongo punje ya haradali!Itasaidia nini sasa hiyo..!
Lissu ndo basi tena mpaka CCM itoke madarakani ndo urudi nyumbani, mateso makubwa sana kwa umri huo kukaa nje kwa lazima ni kama uko jela tu, nyumbani ni nyumbani, hata kama ni vichakani. Hizi mitandao at least zinawapa u nafuu kidogo kama uko nyumbani otherwise no mateso sana.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa katika mtandao wa Kijamii wa “Club House” katika chumba kilichofunguliwa na CHADEMA cha “Mashtaka ya Ugaidi ya Mbowe na Katiba Mpya” amesema CHADEMA haitashiriki katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe
Amesema “Hatutaandika barua ya kuomba dhamana, wala yeye hataomba. Mwenyekiti hatatoa ushirikiano wa aina yoyote, sio Polisi sio Mahakamani. Waamue wao wanataka kumfanya nini”
Ameongeza, “Wakikaa naye wajue hii kelele itakuwa kubwa. Wamuachie menyewe, wakimuachia kwa masharti ya kurudi Polisi siku nyingine hatarudi. Na wakimuachia atarudi Mwanza kwenye Kongamano”
Amesisitiza, “Kama wanamuachia waamue wenyewe, na wamuachie bila masharti yoyote. Sisi hatutashiriki kwa lolote katika kesi hii tunayojua ni ya kijinga”
Awali, Lissu alieleza kuwa kabla ya Mbowe kwenda Mwanza walizungumza naye na kusema tabia ya Polisi kuwakama, kukaa nao kwa muda na kisha kuwaachia kwa masharti ya kurudi kuripoti Kituo cha Polisi kila mara wamechoka na sasa hawatakubali.
Wenzio wameshaingia tayari, JF, Twitter, Instagram, na fb maandamano yanaendelea. Siku hizi kila kitu hata maandamano ni mitandaoni tu. Enzi za digitali hizi bwashee 😂😂Kwahiyo barabarani tunaingia lini makamanda?
Walawewe huhusikiKwahiyo anatuambia Nini !!?? Wamemsusa auu!!!??
Watajijua wenyewe
Zwazwa wewe ongea lugha ya kabila lako tujue moja,jitu umetoka maporini huko unajifanya ujuaji.!Kiswahili kimekuingizi shilingi gapi? Apo BAKITA
Shoga wewe BwabwqYuko....
Yuko mitandaoni....
Anaandamana mitandaoni [emoji1787]
#KaziInaendelea
Wewe ni ****Lissu atulie hapo hapo ushahidi usio na chembe ya shaka unawekwa wazi, tena miongoni mwa mashahidi ni wanachadema wenyewe....! Mdude chadema aliwashwa hadi akaropoka ila yeye hata sio shahidi kati ya mashahidi lukuki! Hongera TISS hongera Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri.
Mzee wa Matusi ulikuwa wapi kaka?!!Shoga wewe Bwabwq
Kwa akili kama hizi, ndio maana bara la Afrika ni zaidi ya miaka 50, tunajitawala wenyewe, lakini hakuna la maana, matatizo ni yale yale, halafu unasikia jitu linasema eti wazungu ndio wanatukwamisha!!!Afrika uwezo wa kujitawala tulikuwa bado!!NI VIUMBE KATILI SANA,Kwahiyo anatuambia Nini !!?? Wamemsusa auu!!!??
Watajijua wenyewe
Zero brain ktk ubora wake!!na si ajabu kesho akiachiwa bila masharti, utasikia tena unakuja kumpongeza MAMA, yaani hata huwa hamueleweki mnasimamia nini!!Lissu atulie hapo hapo ushahidi usio na chembe ya shaka unawekwa wazi, tena miongoni mwa mashahidi ni wanachadema wenyewe....! Mdude chadema aliwashwa hadi akaropoka ila yeye hata sio shahidi kati ya mashahidi lukuki! Hongera TISS hongera Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri.
Lissu hana uwezo huo kama anakabiliwa na hali kama hiyo wakati ambao sio wa uchaguzi...mwanasiasa mwenye uwezo wa kufanya ukaidi namna hiyo ni Lssu peke yake.
..familia ya Mbowe inaweza kuamua vingine na kumuwekea dhamana.
Alishatangaza, aliwaambia muingie barabarani tangu juzi, ila hamna aliyejitokezaLissu hapo umenena kweli japo umekosea hujatangaza maandamano
Lissu huyu huyu aliyeenda kujificha ubalozini au kuna mwingine?..mwanasiasa mwenye uwezo wa kufanya ukaidi namna hiyo ni Lssu peke yake.
..familia ya Mbowe inaweza kuamua vingine na kumuwekea dhamana.
Hivi unaijua njaa wewe????Soma alama.
Mbowe kawanyima ushirikiano polisi ndio maana haruhusiwi kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake.
Siyo ajabu hata chakula hali.
Lissu huyu huyu aliyeenda kujificha ubalozini au kuna mwingine?
Lissu hana uwezo huo kama anakabiliwa na hali kama hiyo wakati ambao sio wa uchaguzi.
Kama naongopa kauli yangu basi Lissu asingekimbilia ughaibuni baada ya uchaguzi angebaki kupambana na kufanya ukaidi kama anao shauri.
Kwa sasa mwanaume mpambanaji kweli kweli ni Mbowe ambaye hajakimbia anawapeleka mchakamchaka wahasimu wake akiwa battlefield na siyo Lissu au Leamma waliokimbia mapambano live.
Mbowe ni mwanaume hasa..
Kilichomkimbiza tz ni nini sasa kama yeye ni jasiri kweli?..huyohuyo aliyemdindia IGP Sirro.
..na huyohuyo aliyemvimbia RPC Wankyo.
Hako kajamaa kalafa sana, kanabwekea mbali utafikiri ka mbwa koko, kanabweka wakati kameficha mkia nchonyoni. Kenyewe wanakula bata mamtoni na kushikishwa ukuta na akina rob amster, wakati huo huo kakihamasisha kumtelekeza mwenyekiti wake.Anamtelekeza Mbowe yeye akiwa ulaya, na yeye akirudi akishikwa atakosa utetezi maana sasa hakuna namna kumtelekeza Mwenyekiti wa Chama Taifa.