Ukishasema neno 'viongozi', katika muundo wa utawala wa Kanisa hao wote wanakuwa ni wa kuchaguliwa, kuanzia ngazi ya jumuiya, Parokia, Jimbo na Taifa. Kwa hiyo kila unapokutana na kiongozi mlei wa RC basi ujue huyo alichaguliwa kwakupigiwa kura kushika wadhifa huo kwa miaka mitatu, na ni mwakilishi halali wa walei katika ngazi iliyomchagua.... huo uamuzi ili uonekane wa kanisa zima na si wa kikundi kidogo cha viongozi ndani ya kanisa ambao wala hawajawahi pigiwa kura kuwa wawakilishi wao wa maamuzi ?
Nitakuja pasakaMbona wewe Tundu Lissu hatukuoni huku home?
Huo msimamo unaoitwa wa kanisa walei walishirikishwa kufikia uamuzi huo? Ni uamuzi wa viongozi wa kanisa au wa kanisa zima wakiwemo walei? unaposema uamuzi wa kanisa walei walishirikishwa lini kikao kipi kutoa huo uamuzi ili uonekane wa kanisa zima na si wa kikundi kidogo cha viongozi ndani ya kanisa ambao wala hawajawahi pigiwa kura kuwa wawakilishi wao wa maamuzi ? Mbona maswala kama ujenzi wa kanisa mbona kanisa zima hushirikishwa wakiwemo walei kufikia uamuzi?
Wapi nimesema sitaki kujua? Wapi nimesema hatuna Corona Tz?Ama kweli tanzania tuna watu mbumbumbu! Hutaki kujua kuwa rais wa nchi yako kama kweli ni mgonjwa au la kwa sababu tu aloanzisha suali ni kiongozi wa upinzani? Unakataa kuwa tanzania kuna corona kwa sababu tu wanaosema ipo ni wapinzani, ingawa kila kukicha watu wanakufa kwa maradhi mnayoambiwa ni kupumua?
[emoji16][emoji16]ameenda kutafuta soko la kunde na denguAlikataa kwenda Ujerumani kumbe amekwenda kwa Ponjori.
😂😂😂Mzee yupo amejaa tele.
Leo alikosa tu muda wa kuhudhuria ibada kutokana na kikao alichofanya na wasaidizi wake.
Kuna lingine la kuuliza Bwashee?
Unakumbuka utopolo huu ulioandika?Umeona eeeh!??? Mara hawataki kumwona mara yuko wapi!??? Hawa mburura ni noma. Kuna mtu aliwahi kusema hawa jamaa hata hawajui wanataka nini, nimeamini hiyo kauli.
Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndiyo hatari
Naogopa asijepata madharaaaa
Credits: Zuhura Zuchu
MATAGA bwana!BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
ShikamooHuu sio Uzalendo
Hapo ni aje?!!BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
Sasa nakubali hata mh akianguka leo,hakuna atakayeacha kulia.
Sasa hivi Majaliwa anaongoza nchiNaam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.
View attachment 1720084
yametimia, japo panya buku zilitoka stoo na kumkemea Lissu kwamba ni mzushi, sasa zimerudisha mikia sehemu ya kukalia.Naam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.
View attachment 1720084
Na kwa mara nyingine Lissu kasema mama yupo hostage na nchi inaendeshwa na Majaliwa..yametimia, japo panya buku zilitoka stoo na kumkemea Lissu kwamba ni mzushi, sasa zimerudisha mikia sehemu ya kukalia.
Hahahahaha..... Takataka kabisa..Kumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Aisee...Halafu ikifika Oktoba 20, 2025 ndipo waanze kukurupushana ili wajipangane kuchukua nchi!??? Hii ni hatari na nusu.
Tupe maoni yako bwashee juu ya kauli ya Jemedari Lissu kuwa Mama Yupo Hostages na nchi inaendeshwa na Majaliwa...BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.