Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Tarehe kama huzu miaka miwili iliyopita, mara kapelekwa india, mara yupo Nairobi yaani ilikuwa vurugu mechi
Wapo memba humu walimtukana Lissu baada ya kutoa dokezo la taarifa sahihi za kuhoji hali ya afya ya Rais wetu, kama kawaida yao wasivyoweza kudadisi, walikurupuka na matusi baadae ikawa kweli.

Nawashauri ktk jukwaa hili kwa uungwana mwombe radhi pia nasi tunaohitaji kupata taarifa watuombe radhi maana walitunyima haki hiyo kwa kutuvuruga badala ya kuendelea kuhoji haki hiyo ya raia kujua halo ya afya ya kiongozi wake.

Cc johnmbatizaji, come, crimea, stroke, nk
 
Kama ingewezekana basi mada hii isipostiwe tena JF

Ila pia inaweza kuwa ni kusudi la Mungu kupostiwa ili tujue kuwa SAFARI BADO, ukidhani umefika au hutakufa unakosea

Lissu aliyepigwa risasi za kutosha yu Hai leo, ambaye hakupigwa risasi hata moja hayupo tena kwenye uso wa dunia

Hili ni Funzo tunakumbushwa
 
Lissu alijua njama dhidi ya maisha magufuli.
 
Njoo usome tena ulichoandika hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…