Kumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Anaingia popote Rais, iwe Katoliki, kwa Mwamposa, kwa Gwaji na hata Msikitini.
Ila kabadili style tuu
Kama ingewezekana basi mada hii isipostiwe tena JF
Ila pia inaweza kuwa ni kusudi la Mungu kupostiwa ili tujue kuwa SAFARI BADO, ukidhani umefika au hutakufa unakosea
Lissu aliyepigwa risasi za kutosha yu Hai leo, ambaye hakupigwa risasi hata moja hayupo tena kwenye uso wa dunia
Hili ni Funzo tunakumbushwa
..kuna wanaodai alifia Kenya.
..tena Nairobi Hospital alipotibiwa Lissu.
..aliyemtonya Lissu kwamba jamaa katangulia ni nani?
Hivi ulikuwa waraka wa nini?Leo hajaenda kanisani si kuna ule waraka
π‘Kumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Mimi babayenuYupo Ikulu anaendelea na majukumu yake ya kila siku. Pia siyo kila jumapili anakwenda kusali.
Kama una appointment nae nenda pale magogoni utamkuta amejaa tele
Ndio ujue aina ya watu walikuwemo humuπ πWewe kweli umekunywa maji ya bendera!
Uwe unarudi kinyume kinyume kujisoma angalau mara moja moja
Wewe kweli umekunywa maji ya bendera!
Uwe unarudi kinyume kinyume kujisoma angalau mara moja moja
Tutamkumbuka mwamba huyuYupo Ikulu anaendelea na majukumu yake ya kila siku. Pia siyo kila jumapili anakwenda kusali.
Kama una appointment nae nenda pale magogoni utamkuta amejaa tele
ipi hiyo kamandaMkuu kulikuwa na post Yako huku
Post #4 kwenye uzi huu mkuuipi hiyo kamanda
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
πΆπΆπΆπππππ€¨π€¨π€¨πππΆπΆKumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Mzilankende Na Kassim Walikuwa Wajanjawajanja
Ujinga mtupu!! Sijui kwa nini Mkapa na Kikwette walichelewa kujua ukichaa wa Magufuli
Mwisho wa siku wana dance pamojaππ π€£Mzilankende Na Kassim Walikuwa Wajanjawajanja
Mara Nitapiga Shangazi Zako, Mara Nitatimua Wabunge Wote Wa Kusini Na Bunge Litaendelea
Kila mtu atakufa .muacheni baba wa watu apumzike kwa amani