Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Hee mkuu, ukweli waujua, mpaka mwanao wa mwisho anajua japo anaogoba kwambia Kama baba yake usije mfukuza nyumbani bure ukiacha na shemeji anajua ukweli sana
 
Sasa ulienda kufanya nini kwenye page za mataahira?

Oh nimesahau wahenga walisema ndege wa aina moja huruka pamoja
 
Duh tumefika huku aiseee baada ya ramli za vifo kuisha nguvu sasa tunataka kuona kila alipo na akiibuka kuzindua miradi full malalamiko
 
Liso keshakuwa Ni mpumbavu na mpayukaji asiye Maana!!

Kwani ni Lazima kila wiki mtu uende kanisani??
Haya, wewe sasa unataka kuanzisha kona nyingine juu ya hili.

Mara ya mwisho alipokwenda kanisani na kutoa mahubiri, alikemea kanisa hilo kutokuwa na imani na Mungu.

Kwa hiyo wewe hapa unaeleza kwamba kakasirika na pengine haendi kwenye kanisa hilo kwa kuwa katambua kuwa halina imani na mungu anayemwamini yeye?

Kwa hiyo tusubiri, pengine karibuni ataibukia kwenye kanisa au msikiti anaoona unayo imani juu ya mungu wake kuliko huko alikokuwa mwanzo?
 
Mkutano wa nchi EAC alihudhuria si ulifanyika kwa njia ya Video? labda hiyo ya kuto onekana kanisani labda ....
Hata kwenye picha ulimwona akishiriki kwenye mkutano huo?

Kwa hiyo Tanzania washiriki walikuwa ni wawili, rais na makamo wake ambaye alionyeshwa akishiriki mkutano huo?
 
Eeeenh Heee!

Watu wengine mnakipaji cha kufikisha ujumbe bila ya kuanzisha sintofahamu na rabsha yoyote.
 
Rais akiwa kama mtumishi wetu tuna haki ya kujua alipo, yule ni mfanyakazi wa serikali na mshahara analipwa, hivyo asipoonekana ofisi lazima ni wajibu wetu kujuzwa alipo.
Kumbe umeshamtambu kuwa ni Rais wa JMT si mlisema hamuutambui uchaguzi imekuwaje tena!?
 
Safi sana kumbe lisu huwa anafualia TBC matangazo ya mojakwamoja ya Mheshimiwa magufuri akiongea
Nilijua lisu kakasilika hata hbr zake hasikilizi
 
Hata taarifa ya habari ya saa 2 hajaonekana?
 
Lissu anauliza alipo Rais yeye kama nani?
 
Mkuu punguza hasira,lissu ni jeshi la mtu mmoja na mungu wake,kampeni za mwaka jana aliwapeleka puta, mpaka mlikua hamlali ,au umesahau kimbunga lissu 2020 , na mgejalipu hata Kama ya mseveni kuruhusu kura kuhesabiwa tu mlikua mmekwisha
Kama jeshi la mtu mmoja mbona alikimbia
 
Back
Top Bottom