Lissu: Rais Samia aruhusu au asiruhusu, nakuja kufanya mikutano ya hadhara

Lissu: Rais Samia aruhusu au asiruhusu, nakuja kufanya mikutano ya hadhara

Hivi hawa watu kwa nini hawana akili hawa?

Hata kama mnatumika na watu wa system wasiomuunga mkono Mh Rais,mmeshindwa kutumia akili zenu hata kidogo?

Asee chadema mnakera sana.
Mimi sikuwa namuunga mkono Magu kwa siasa zake za kuwachukulia wapinzani kama waasi,ila sasa naanza kumwelewa haswaa!Kabisa you deserved.

Sikuwahi kuiunga mkono CCM lakini sasa nataka nikachukue kadi kabisa.
Siwezi kuunga mkono ujinga mnaotaka kuuobesha kwa mama
"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
 
H

Lissu Hana uoga, lakini yuko peke yake! Hakuna wafuasi nyuma yake! Sana sana atakuwa na Mwamakula na Ponda! Na siku ikiangukia ijumaa atajitahidi kuvaa kanzu ya kikristu na kofia ya kiislamu! Basi!
Hoja zinaonekana kwa watu kama wewe. Wengine tunasikia kelele tu! Hivi kweli akifanya evaluation ya safari zake za Ujerumani, US, Kenya, anaona kuna mtu anamuelewa na kuona ni mtu anayefaa kazi anayoitafuta kwa maisha yake? KIsha onekana hafai kama yule Morgan wa Zimbabwe ilivyokuwa.

Ninyi munaoona hoja zake hongereni kwa kipaji hicho.
 
Back
Top Bottom