Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Mboa alikua anamwambia Samia amuhakikishie ulinziMwenye shida nae alishapangiwa majukumu mengine
Ni ulinzi upi alitaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboa alikua anamwambia Samia amuhakikishie ulinziMwenye shida nae alishapangiwa majukumu mengine
Naona risasi kapona huyu mwache aje."Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Hii kwa maana nyingine katangaza vitaIwe kwa shari au kwa heri......
Hii ni vita katangaza asipodhibitiwa ni aibu kwa serikaliDuuuh.....
Yaani anasema kabisa "IWE KWA SHARI...."
Maaaweeeee
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
#KaziIendelee
Utafanyaje akija?Duuuh.....
Yaani anasema kabisa "IWE KWA SHARI...."
Maaaweeeee
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
#KaziIendelee
Ni mtu bwege tu! Angekuwa shujaa kiasi hicho cha kuitaka shari, mbona alikimbilia ubalozini? Mbona amekuwa mkaazi wa kudumu ubelgiji?Kauli kama hizi...halafu kuna wajinga walikuwa wanamlaumu Magufuli. Wajinga kama Lissu unawaachaje? Unatangaza shari katk nchi ambayo mama, dada, kaka na wajomba zako wako wanaishi!
Good, Lissu anaweza"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Ni ya raia wote kulindwa dhidi ya mizizi ya muovuMboa alikua anamwambia Samia amuhakikishie ulinzi
Ni ulinzi upi alitaka?
Wawe shamba darasa 😂😂😂Atangulie YEYE na watoto wake MBOWE.....
Sahizi usalama wake uko imara😂😂😂 kashapona miguu! Awamu hii watalenga “Ndosi” ili mchezo uisheNdo nachoshangaa yaani Huyu mtu bana si alikuwa analalamika kuhusu usalama wake
Thubutu! Huwezi, njoo tuone!"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Bakaende akagulu! Si alibaki na mguu mmoja tu! Wa kushoto, alipo kuwa amesimama asiyejulikana, na mguu wa alipokuwa dereva ukachakazwa sana!Iwe kaleke baije bakaende Obugulu
Lissu Hana uoga, lakini yuko peke yake! Hakuna wafuasi nyuma yake! Sana sana atakuwa na Mwamakula na Ponda! Na siku ikiangukia ijumaa atajitahidi kuvaa kanzu ya kikristu na kofia ya kiislamu! Basi!Lisu hana uoga na ana hoja za msingi...
Enheee ndio ndio ndio 🤣Wawe shamba darasa 😂😂😂
Wakati ccm inatafuta maendeleo ya wananchi kiuchumi kwa heri wao wanatafuta katiba kwa shari au heri ya kuweka uchumi mikononi mwa mabwanyenye utafikiri nchi haina katiba. Aje huyo lissu basi kama safari hii hawamvunji miguu."Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."