Lissu: Rais Samia aruhusu au asiruhusu, nakuja kufanya mikutano ya hadhara

Lissu: Rais Samia aruhusu au asiruhusu, nakuja kufanya mikutano ya hadhara

"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Kichaa huyu!
Naona kweli siasa inalipa. Kila mtu anataka siasa kufa na kupona. Hata Lissu hataki tena kuwa mwanasheria. Yeye ni siasa tu, hata afe ni sawa! Tusidanganye eti anapigania demokrasia, labda Mtikila ambaye alikuwa anaitafuta hata kupitia mahakamani.
 
Kauli kama hizi...halafu kuna wajinga walikuwa wanamlaumu Magufuli. Wajinga kama Lissu unawaachaje? Unatangaza shari katk nchi ambayo mama, dada, kaka na wajomba zako wako wanaishi!
 
"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Hivi huyu kwa nn anamdharau mhe Rais kiasi hiki??
 
"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Haya sasa kumekucha Mughwayi wa Ikungi kutoka ughaibuni yuko tayari kwa chochote kushinikiza upatikanaji wa katiba mpya sijui yenye kitu gani; akifanikiwa na wananchi wataingia hapohapo kufanya chochote kwa namna yoyote, wakati wowote, popote na mahali popote na kwa vyovyote..................breki zipo?

Historia nyingine mpya anakuja kuiandika kwa kupenda au hapana......Duh kuna shida pahala.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anataka kujaribu bahati yake
 
Aje haraka saiz watapiga kifuani hawatapiga tena mguuni aje fasta vijana wanahamu naye sanasana.
 
Haya sasa kumekucha Mughwayi wa Ikungi kutoka ughaibuni yuko tayari kwa chochote kushinikiza upatikanaji wa katiba mpya sijui yenye kitu gani; akifanikiwa na wananchi wataingia hapohapo kufanya chochote kwa namna yoyote, wakati wowote, popote na mahali popote na kwa vyovyote..................breki zipo?

Historia nyingine mpya anakuja kuiandika kwa kupenda au hapana......Duh kuna shida pahala.
Mwambie aje mapema kabisa aseme atapita njia gani ili watoto wakiume wamalize kazi mapema hakianani saiv hawakosei
 
ile risasi iliyokwama ilishatoka au anataka aongezewe nyingine?
 
Mkuu dunia ina wakazi bilioni 7....sijaletwa DUNIA kutetea wote wanaodhulumiwa....

Ila kama wewe ni "hero" sheikh wangu basi kila la kheri akhui.....

HERI YA MAJI NUSU GLASS YANAYOPATIKANA BILA "TUG OF WAR" KULIKO GLASS NZIMA!!
Hero ni Lisu,aliejitolea wewe si unashauli nifanye ibada ndio nilikujulisha anachokifanya Lisu ni moja ya idada, Upo Muft??
 
Hana jipya huyu lofa wa singinda,atakipata anachotafuta,wait and see
 
Back
Top Bottom