Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Huyo jamaa hajionei huruma na kale kamguu kake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
They will call you coward. But don't bother, let them!Mkuu dunia ina wakazi bilioni 7....sijaletwa DUNIA kutetea wote wanaodhulumiwa....
Ila kama wewe ni "hero" sheikh wangu basi kila la kheri akhui.....
HERI YA MAJI NUSU GLASS YANAYOPATIKANA BILA "TUG OF WAR" KULIKO GLASS NZIMA!!
Watamporomoshea rais matusi mengi sana.Sasa kwa mfano CHADEMA wakifanya hiyo mikutano ya hadhara kudai katiba mpya usiku na mchana, Rais akaamua kukaa kimya kwenye swala la Katiba mpaka akamaliza awamu hii, chadema watafanyaje zaidi?
Haswaaaa ndugu yanguJobless mkuu....
Akhui usisahau "ufukara ni nusu ya ukafiri" 🤣🤣
Hawa jamaa wahuni tuToka Lissu aondoke wangekuwa kweli na NJAA basi wangekwishafika huko "barzakh"....🤣
Shangilia tu hata ikifikia Mazaa anafanya ambayo ni kinyume na hiyo awamu iliyo zikwa!Awamu ya jana......HAPA KAZI TU!
Awamu ya leo.......KAZI INAENDELEA!!!
Na hapo kwa Shari ndio pazuri aje atangulie mbele asiwe anaongelea Twitter"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Wapuuzi tuu hao afu hakuna mjinga atakubali kuvunjwa miguu na kusweka jela eti kumpigania Lisu,Mbowe na genge lao 😆😆😆😆Vijana msidanganyike na hawa wanasiasa wasaka madaraka, Lusu atakuja huku mfukoni ana tiketi ya ndege kikinuka tu anakimbia.
Kwa nini afe? Yote hiyo ya nini? Yeye atapata uzoefu kwa Mashekh wa uamsho tuu 😂😂😂😂Humjui lisu tuulize tuliesoma nae ,bingwa kwelikweli wa vitendo mama achague moja kufa au kumuua lisu nakikwete hatakubali lisu afe
Gongelea hapo hapo Mshana tunakuaminia kwa Shari au kwa heri 😃😃🏃🏃Sijui wew ni mshana gani mpumbavu kiasi hiki kichwani umejaza mavi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umekula lakini?Lazima Kieleweke.!
Katiba Mpya ni ya lazima. Hakuna kubembelezana.
Mikutano hiyo mwisho wa siku huishia kua maandamano afu inaleta vurugu na kuhatarisha usalama wa nchi.Sasa kwa mfano CHADEMA wakifanya hiyo mikutano ya hadhara kudai katiba mpya usiku na mchana, Rais akaamua kukaa kimya kwenye swala la Katiba mpaka akamaliza awamu hii, chadema watafanyaje zaidi?
Ndio.Umekula lakini?
Tutafanya tu , na katiba hakuna wa kuizuia asema bwana na ilisha kuwa, asante mungu kwa afya tele KWA mh lissu na rais mpakwa mafuta ajae Kama sio leo kesho , huzungumza nami mengi bwana na imekuwa mwaminifu Sana kwangu,umekua up to date Sana kwangu, nami nasema shukran Mungu wangu"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Extrovert uje ujionee..Hatuishi kwa Historia ya jana si ya leo.
Wait for surprise.
Anahusikaje hapa.?Extrovert uje ujionee..