Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Atakayeiharibu Amani ya nchi ni mwananchi mwenyewe, ila vyombo vya dola havitokubali awe makini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawafanikiwi... NiaminiNaona wanamchezea mama sharubu
Kwa hiyo ni njaa tu ndio inamsumbua dogo???🤣🤣Kwa kuwa umeikosa ajira ya watu 6000 wa TAMISEMI ?!!
Dogo tulia.......mwakani mh.Rais anatoa tena kibali cha ajira......utapata mdogo wangu...tulia kaka.....
Propaganda hizo..! Hamna mwenye kiherehere cha kutuharibia Amani hapa kisiwani.Atakayeiharibu Amani ya nchi ni mwananchi mwenyewe, ila vyombo vya dola havitokubali awe makini
Haoana bro! Usifikie huko... UsipanicAmenogeshwa na Amsterdam sasa anataka kila mtu awe shoger
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Warlord nyuma ya KEYBOARD....
Tuendelee kubeti tu mkuu....
FFU sio kabisa msela wangu....
Ndugu yangu Bashiru Zembwe hatowasahau MILELE kipindi kile cha CUF....
Yuko na baiskeli yake ya MAGURUDUMU 3.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Both team to score mkuu 😂😂😂😂
Mnalala njaa kwa uvivu wenu na uzembe wenu.Njoo lissu uisisimshe nchi,jinchi limezubaa kama kiporo cha uji!! Watu wanajipigia wengine tunalala njaa
Jobless mkuu....Kwa hiyo ni njaa tu ndio inamsumbua dogo???
Toka Lissu aondoke wangekuwa kweli na NJAA basi wangekwishafika huko "barzakh"....🤣Mnalala njaa kwa uvivu wenu na uzembe wenu.
Nyinyi ndio msiotaka kufanya kazi mnaoibia watu
Hata wewe utakufa na kuoza
A bold statement. Kwanini CCM hawapendi mikutano ya hadhara? kama wao hawapendi waache wengine wafanye."Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Kila Ibada ina misingi yake ndugu. Usivamie tu mambo!Jumbe Hakuna ibadan nzuri kama kutetea wanaodhulumiwa, ndio jihad yenyewe hiyo bro,which Lisu is one of them,hakuna anaepinga kwenye hili,Usishinde msikitini ukaacha dhulma ifanyike kama kina shehe mkuu..