Lissu: Rais Samia aruhusu au asiruhusu, nakuja kufanya mikutano ya hadhara

Lissu: Rais Samia aruhusu au asiruhusu, nakuja kufanya mikutano ya hadhara

Humjui lisu tuulize tuliesoma nae ,bingwa kwelikweli wa vitendo mama achague moja kufa au kumuua lisu nakikwete hatakubali lisu afe
Angekuwa hivyo USEMAVYO asingemaliza SHAHADA YAKE YA KWANZA 🤣🤣

Ama kipindi hicho hakuwa "bingwa usemavyo"?!!!

Na kama hakuwa bingwa basi alikuwa ni MUOGA TU....Kama alivyokimbia Yale makutano ya UBUNGO aliyoyaitisha MWENYEWE 🤣🤣
 
"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Vituko mtandaoni ,tupia chako oya! P njoo unisaidie mwenzako naonewa mimi, chifu lumanyika unajifanya haujui naonewa mimi.
 
Duuuh.....

Yaani anasema kabisa "IWE KWA SHARI...."

Maaaweeeee

Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....

#KaziIendelee
Haki haiombwi huchukuliwa..by Kigoma Malima..karibu nyumbani mtetezi wa wananchi Lisu, may Allah protect you, and give the strength and power to defeat your enemy.
 
🤣🤣Ubabe tu wa JF huo ...

Kamanda MULIRO yupo....
Yupo ANAWASUBIRI.....

Nakumbuka RPC MUROTO aliwaambia DADA NA MAMA ZENU WADOGO WA BAWACHA waende na Kalamu na karatasi DODOMA.....

Maaaweeeee.......

HAKUNA ALIYETOKEA....

Sasa we uvute mbange wako ukutane na FFU....maaaweeeee....

#KaziIendelee
Ccm ni wajinga sugu,Kikwete aliwahi kuwaonya kwamba ccm ikitegemea polisi itashindwa vibaya sana .Sasa endeleeni kuwatumia polisi cha moto mtakiona
 
Tunaingia kwenye wimbi jipya la hard politics
Kweli kabisa mdau..huyu bimdashi inabidi tu avumilie hii barabara maana itakuwa ni full bumps, miteremko , mashimo n.k ..kitambo tufike 2025 tutaona mengi
 
Aje kwa Shari asiporudi tena ulaya kwa Shari.

Kwani wakifanya hizo harakati za kudai katiba mpya bila ya shari kwa kujenga hoja kiasi mpaka wananchi wa kawaida wakawa upande wao watapungukiwa nini labda.

Mfano kidogo kwenye injili yesu alitoa mfano wa ndugu aliekua akidaina na mtu, Sasa kulikua na mtu nadhani ndie aliepelekewa madai aliimuita kadhi.
Huyo kadhi hakua mtu mwenye kujali iwe Mungu au binadamu yoyote.
Yule ndugu aliekua anadai haki yake alikua hachoki kumkumbushia yule kadhi kuhusu haki yake, japo alikua hajali, au alikua anapuuzia.

Mwishowe yule kadhi akasema nimtimizie tu matakwa yake maana amekua kero kwangu!

Huyo kadhi hakumtimizia huyo ndugu madai yake kwa mujibu wa majukumu yake la, bali kwa kutaka kuto kupata kero na usumbufu kwa kumdai.

Hivyo hata wenzetu hawa hayo madai yao ikiwa watayadai kwa staha huyo anaetakiwa kutoa hayo madai ya katiba mpya atalazimika kutoa, sio kwa sababu amependa la, Bali kwa hoja zenye nguvu na nguvu ya umma.

Ila Shari , sijui wembe ulele! Wataambulia manyoya.
 
Haki haiombwi huchukuliwa..by Kigoma Malima..karibu nyumbani mtetezi wa wananchi Lisu, may Allah protect you, and give the strength and power to defeat your enemy.
Akhui fanya ibada zako tu usubiri YAUM UL WAIID....

Akhui jipige tu ubweche wako na mke/wakezo usubiri khatima yako.....

Sheikh Mselem bin Aliy Yuko nje.....itafute CLIP yake baada tu ya kutoka RUMANDE....Kuna la kujifunza!!!!

Allah anatulinda sote na nakumbuka maneno ya Rasulullahi SAW alipata kunena "mwenye kupenda kufuata ya watu basi ajiandae kukumbwa nayo"!

Maasalaam!
 
Back
Top Bottom