Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Fimbo ya mbali haiui nyoka!Ameshahakikishiwa usalama wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fimbo ya mbali haiui nyoka!Ameshahakikishiwa usalama wake?
Mwalimu Nyerere angekuwa na Moyo kama wako tungelikuwa wapi?Cha msingi awe anatangulia yeye mbele wengine tunafuata.
Uchu wa madaraka n mbaya sana
Humjui lisu tuulize tuliesoma nae ,bingwa kwelikweli wa vitendo mama achague moja kufa au kumuua lisu nakikwete hatakubali lisu afeWapiiiii?!!!
Maneno mbofumbofu tu hayo....[emoji1787][emoji1787]
Unaandika kama tupo awamu ya jana?! Wee jamaa Vipi buana?!Duuuh.....
Yaani anasema kabisa "IWE KWA SHARI...."
Maaaweeeee
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
#KaziIendelee
Angekuwa hivyo USEMAVYO asingemaliza SHAHADA YAKE YA KWANZA 🤣🤣Humjui lisu tuulize tuliesoma nae ,bingwa kwelikweli wa vitendo mama achague moja kufa au kumuua lisu nakikwete hatakubali lisu afe
Vituko mtandaoni ,tupia chako oya! P njoo unisaidie mwenzako naonewa mimi, chifu lumanyika unajifanya haujui naonewa mimi."Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Cha msingi awe anatangulia yeye mbele wengine tunafuata.
Uchu wa madaraka n mbaya sana
Awamu ya jana......HAPA KAZI TU!Unaandika kama tupo awamu ya jana?! Wee jamaa Vipi buana?!
Haki haiombwi huchukuliwa..by Kigoma Malima..karibu nyumbani mtetezi wa wananchi Lisu, may Allah protect you, and give the strength and power to defeat your enemy.Duuuh.....
Yaani anasema kabisa "IWE KWA SHARI...."
Maaaweeeee
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
Huyu jamaa huyu....
#KaziIendelee
Ccm ni wajinga sugu,Kikwete aliwahi kuwaonya kwamba ccm ikitegemea polisi itashindwa vibaya sana .Sasa endeleeni kuwatumia polisi cha moto mtakiona🤣🤣Ubabe tu wa JF huo ...
Kamanda MULIRO yupo....
Yupo ANAWASUBIRI.....
Nakumbuka RPC MUROTO aliwaambia DADA NA MAMA ZENU WADOGO WA BAWACHA waende na Kalamu na karatasi DODOMA.....
Maaaweeeee.......
HAKUNA ALIYETOKEA....
Sasa we uvute mbange wako ukutane na FFU....maaaweeeee....
#KaziIendelee
Kweli kabisa mdau..huyu bimdashi inabidi tu avumilie hii barabara maana itakuwa ni full bumps, miteremko , mashimo n.k ..kitambo tufike 2025 tutaona mengiTunaingia kwenye wimbi jipya la hard politics
Hata Mama yako atatangulia mbele
CCM IPO mkuu....Ccm ni wajinga sugu,Kikwete aliwahi kuwaonya kwamba ccm ikitegemea polisi itashindwa vibaya sana .Sasa endeleeni kuwatumia polisi cha moto mtakiona
CCM IPO mkuu....
CCM ni imani mkuu......
#KaziIendelee
Akhui fanya ibada zako tu usubiri YAUM UL WAIID....Haki haiombwi huchukuliwa..by Kigoma Malima..karibu nyumbani mtetezi wa wananchi Lisu, may Allah protect you, and give the strength and power to defeat your enemy.
Sijui wew ni mshana gani mpumbavu kiasi hiki kichwani umejaza mavi