Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuishi kwa Historia ya jana si ya leo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona ulikimbia pale UBUNGO baada ya uchaguzi wa 2020?!!
Mbona TL hakutokea pale?!!!
Mbona Mbowe hakutokea pale?!!
Daadekiiiii KAMANDA MULIRO IN TOWNNNN DIIIIIZIIIIIM......
#KaziIendelee
🤣🤣Hatuishi kwa Historia ya jana si ya leo.
Wait for surprise.
🤣🤣Atake asitake atalazimishwa, katiba ni lazima
Bora iwe hivyo. Kuliko kuendelea kuwa chini ya Katiba Mbovu..![emoji1787][emoji1787]
Warlord nyuma ya KEYBOARD....
Tuendelee kubeti tu mkuu....
FFU sio kabisa msela wangu....
Ndugu yangu Bashiru Zembwe hatowasahau MILELE kipindi kile cha CUF....
Yuko na baiskeli yake ya MAGURUDUMU 3.....
🤣🤣Bora iwe hivyo. Kuliko kuendelea kuwa chini ya Katiba Mbovu..!
Hakuna wa Kukimbia. Hatucheki na Nyani.!
Hatutakuwa mfano wao. Tunataka mifumo imara.[emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo katiba mpya ikipatikana ndio UTAISHI Kama "mbele" si ndio eee?!!!
Sawa mkuu....
Hata wale vijana waliomuondoa Mubarrak WALISEMA HIVYOHIVYO....
Leo hii wako chini ya FIELD MARSHAL EL SISI pale CAIRO.....[emoji1787][emoji1787]
Kila la heri mkuu.....Hatutakuwa mfano wao. Tunataka mifumo imara.
"Tuwaendee wananchi kwenye mikutano ya hadhara. Mimi nawaahidi tukitengeneza utaratibu wa mikutano ya hadhara, mimi ninakuja Tanzania Samia aruhusu, asiruhusu nakuja kufanya mikutano ya hadhara, tujiandae tutapata Katiba iwe kwa shari au kwa heri."
Wapiiiii?!!!Hayo ndo maswala tunataka matendo
Jamaa inabidi afanye hivyo ili aendelee kupata HIFADHI NJEMA huko aliko......Huyu coward kwanini aliishia Nairobi bila kuja Tanzania?anachokifanya sasa ni hadaa kwa wafadhili wake ili mkono uende kinywani
Hatuishi kwa Historia ya jana si ya leo.
Wait for surprise.
Katiba mpya si matakwa ya WATANZANIA WOTE....Wanaobeza jitihada za kupata katiba mpya ni:
1. Wasiokuwa na uelewa wa kutosha
2. Wanufaika wa katiba iliyopo.
#1 tunawajibika sote kuwaelimisha.
#2 hamna haja ya kupoteza nguvu na muda nao kwa sasa.
Wanufaika wa Katiba Iliyopo hawahitaji elimu
Katiba Iliyopo ina mapungufu mengi yasiyoweza kuvumilika zaidi. Ni wazi kuwa anayebeza jitihada zozote za kuanzishwa tena kwa mchakato wa kupata katiba mpya kiporo uliobakia, ni kwa sababu tu ya kuwa na uelewa mdogo au ni mnufaika wa moja kwa moja wa katiba mbovu hii iliyopo. Wanaobeza...www.jamiiforums.com
Huo ndiyo ulio uhalisia.
Hakuna shida. Tutaelewana tuh..!Kila la heri mkuu.....
Utakutana na wale vijana wenzetu WENYE MATUMBO FLAT ,walionyooka kama UBAO na bendera zao nyekundu....[emoji1787][emoji1787]
Kabisaaa. Haki haiombwi huwa inatolewa kwa wahusika bila kuzungushana.Lazima Kieleweke.!
Katiba Mpya ni ya lazima. Hakuna kubembelezana.