R ruaharuaha JF-Expert Member Joined Feb 14, 2018 Posts 3,586 Reaction score 3,857 Oct 1, 2020 #41 Yoda said: Usimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi. Click to expand... Inabidi nijibu na hii sentence, well i ll pass.
Yoda said: Usimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi. Click to expand... Inabidi nijibu na hii sentence, well i ll pass.
William Mshumbusi JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 1,761 Reaction score 2,391 Oct 2, 2020 Thread starter #42 Yoda said: Usimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi. Click to expand... Muda NI mchache Sana adili na Sera haya malumbano yanawanyima watu fursa ya kuelewa Sera zake
Yoda said: Usimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi. Click to expand... Muda NI mchache Sana adili na Sera haya malumbano yanawanyima watu fursa ya kuelewa Sera zake
residentura JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 8,146 Reaction score 11,434 Oct 2, 2020 #43 Kapwil said: Hawa ndio hawaelewi mgombea wao anasema Sera ganiView attachment 1587432View attachment 1587433View attachment 1587434View attachment 1587435 Click to expand... Mkuu,hawa mbona ni watoto? Hawa kweli ni wapiga kura? Nani anayefanya hivi kuwadhulumu haki ya kusoma,kucheza na kupumzika watoto hao? View attachment 1587716
Kapwil said: Hawa ndio hawaelewi mgombea wao anasema Sera ganiView attachment 1587432View attachment 1587433View attachment 1587434View attachment 1587435 Click to expand... Mkuu,hawa mbona ni watoto? Hawa kweli ni wapiga kura? Nani anayefanya hivi kuwadhulumu haki ya kusoma,kucheza na kupumzika watoto hao? View attachment 1587716