Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nauliza tu,
Ccm kwenye mikutano yao mikubwa uwa wanawaalika wapinzani na kuzungumza kwenye mikutano yao?
Hususani chadema na act wazalendo?
 

..Lissu anahubiri Tume Huru na Katiba Mpya.

..Muungano ameuzungumzia kwasababu umetimiza miaka 60.

..Mbele ya safari anaweza kuzungumzia tukio lingine, lakini hoja ya msingi ni Tume Huru na Katiba Mpya.

..Je, unataka tuamini kwamba wafuasi wa Magufuli wamehamia kwa Lissu kuunga mkono Tume Huru na Katiba Mpya?
 
Wafuasi wa Magufuli wanataka extremism kwenye politics, wanataka siasa za CCM kuwaona Chadema ni adui wa taifa ambaye ikiwezekana auawe kwa manufaa ya taifa na Chadema kuwaona CCM ni adui wa taifa ambao akiuawa ni faida, sio kuonana just kama watanzania walio na mtazamo tofauti wa kisiasa, na ndio siasa ambazo Tundu Lissu amekuwa akihubiri
Hana political maturity wala statemanship yoyote angalau kama mwenyekiti wake, cha kusikitisha ndio viongozi ambao Chadema mnawatala
 
Ngoja inyeshe tuone panapovuja!! 🤣 🤣 🤣
 

..mbona Lissu ametulia ukizingatia mashambulizi na mapigo ambayo amepitia?

..Lissu hajawahi kuhamasisha violence mahali popote, wakati wowote.

..Mimi nadhani tuna tafsiri tofauti ya political maturity and statesmanship.

..Mtu anayehubiri Tume Huru na Katiba Mpya, katikati ya hila, na uhalifu wa Ccm, unaweza vipi kusema haijali nchi na amani yake?
 
Huyu mtu wako anamshambulia Rais Samia kuwa "ameuza" rasilimali za bara kwa sababu ni mzanzibari, wakati maamuzi yalifanywa na baraza la mawaziri na bunge
Anaongea pia mengi akisema yanatokana na Samia kuwa Mzanzibari, huu ni ufashisti
Juzi anadai Samia kuhudhuria kikao cha siku ya wanawake duniani alichoalikwa na Chadema ni kufuru, Samia sijui alipomtembelea hospitali sijui kwa nini hakumfukuza

Huyu mtu ni fashisti na mbaguzi wa kisiasa kama Magufuli, na ndio maana anam miss Magufuli hadi kutaka kwenda kwenye kaburi lake kumuombea, hii ni kuhadaa wananchi waliokuwa vanapenda siasa za kifashisti za Magufuli kuwa upande wake
Huyu mtu ni demagogue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…