Evody kamgisha
Member
- Aug 4, 2011
- 97
- 108
Anachokihubiri Tund Lissu ndio wafuasi wa Magufuli wanakitaka, sababu wanajua siasa hizo zinawafanya waweze kuwafanyia wapinzani kitu chochote na wasifanywe chochote
Actually ukichunguza kwa makini utaona mashabiki wa mwendazake wanamshangilia Tundu Lissu japokuwa hawampendi, wanajua atawapa wanachotaka
Wafuasi wa Magufuli wanataka extremism kwenye politics, wanataka siasa za CCM kuwaona Chadema ni adui wa taifa ambaye ikiwezekana auawe kwa manufaa ya taifa na Chadema kuwaona CCM ni adui wa taifa ambao akiuawa ni faida, sio kuonana just kama watanzania walio na mtazamo tofauti wa kisiasa, na ndio siasa ambazo Tundu Lissu amekuwa akihubiri..Lissu anahubiri Tume Huru na Katiba Mpya.
..Muungano ameuzungumzia kwasababu umetimiza miaka 60.
..Mbele ya safari anaweza kuzungumzia tukio lingine, lakini hoja ya msingi ni Tume Huru na Katiba Mpya.
..Je, unataka tuamini kwamba wafuasi wa Magufuli wamehamia kwa Lissu kuunga mkono Tume Huru na Katiba Mpya?
Ngoja inyeshe tuone panapovuja!! 🤣 🤣 🤣Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.
Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.
Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Wafuasi wa Magufuli wanataka extremism kwenye politics, wanataka siasa za CCM kuwaona Chadema ni adui wa taifa ambaye ikiwezekana auawe kwa manufaa ya taifa na Chadema kuwaona CCM ni adui wa taifa ambao akiuawa ni faida, sio kuonana just kama watanzania walio na mtazamo tofauti wa kisiasa, na ndio siasa ambazo Tundu Lissu amekuwa akihubiri
Hana political maturity wala statemanship yoyote angalau kama mwenyekiti wake, cha kusikitisha ndio viongozi ambao Chadema mnawatala
Huyu mtu wako anamshambulia Rais Samia kuwa "ameuza" rasilimali za bara kwa sababu ni mzanzibari, wakati maamuzi yalifanywa na baraza la mawaziri na bunge..mbona Lissu ametulia ukizingatia mashambulizi na mapigo ambayo amepitia?
..Lissu hajawahi kuhamasisha violence mahali popote, wakati wowote.
..Mimi nadhani tuna tafsiri tofauti ya political maturity and statesmanship.
..Mtu anayehubiri Tume Huru na Katiba Mpya, katikati ya hila, na uhalifu wa Ccm, unaweza vipi kusema haijali nchi na amani yake?