Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
I seems that you are full of anger about Lissu. Samia ni mzanzibar au siyo mzanzibar? Samia kawafukuza wamasai na kwenye ardhi na kuwapa waarabu au hakuwapa? Kama ''unyumbu'' ni kusema ukweli, basi acha iwe hivyo. Kwanza huu muungano ni hasara kwetu Tanganyika na hautusaidii lolote. Inakuwaje kila rais anayetoka Zanzibar anauza mali zetu kwa waarabu?
Hatukatai Samia ni Mzanzibari, ila kutumia asili yake ya Uzanzibari kumsema kuwa anafanya makosa haya na haya ndio kinachokosolewa
Huu Muungano upo kabla ya Samia hajawa Rais, hakuanzisha yeye, so laumu walioanzisha Muungano,
 
Hatukatai Samia ni Mzanzibari, ila kutumia asili yake ya Uzanzibari kumsema kuwa anafanya makosa haya na haya ndio kinachokosolewa
Huu Muungano upo kabla ya Samia hajawa Rais, hakuanzisha yeye, so laumu walioanzisha Muungano,
Hatuwezi kulaumu walioanzisha kwa sababu haya matatizo hayakuwepo. Bandari ni yeye kagawa, Ngorongoro nayo kagawa, na mpaka misitu anagawa. Nani: Samia mzanzibari.
 
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.

Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.

Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Lissu ni mwanasheria; ningemwona mtu makini angeweka ushahidi wa vielelezo. Hii kutuhumu watu ni wahuni tu wa vijiweni wanaweza kufanya! Kwa hiyo Lissu ni mhuni flani anayewajaza upepo masela wake🙏🙏🙏
 
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.

Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.

Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.

Jibu ni asali, Mbowe alitoka jela akaenda moja kwa moja Ikulu kupiga. picha na kukubaliana na SSH dili zao binafsi. Akatoa 150mn kuchangia harambee, akamwalika. SSH kwenye mkutano wa Wanawake wa chadema.. Akaingia kwenye maridhiano hewa ya kupoteza muda. Nafikiri Lissu machale yanamcheza kuhusu Mbowe mbele ya asali.
 
Ww ndio descpline master nini, au unataka kunifundisha uoga? Yaani mahali pa kumpa ukweli nampa, labda ww ndio umuhofie maana ni mwenyekiti wako.
Mbowe amepambana mno kwenye nyakati ngumu akiwa na Chadema, usisahau hilo.
 
Jibu ni asali, Mbowe alitoka jela akaenda moja kwa moja Ikulu kupiga. picha na kukubaliana na SSH dili zao binafsi. Akatoa 150mn kuchangia harambee, akamwalika. SSH kwenye mkutano wa Wanawake wa chadema.. Akaingia kwenye maridhiano hewa ya kupoteza muda. Nafikiri Lissu machale yanamcheza kuhusu Mbowe mbele ya asali.
Mbowe alinaswa hapo kizembe kwelikweli.
 
Nadhani wafuasi wa Chadema mnachokosea mnadhani kila anayeikosoa Chadema ni mfuasi wa CCM anayetaka upinzani ufe, wengine hatuna hata vyama, bali tunataka nchi yenye siasa safi za kujenga

Kwa siasa zenu hizi za kudandia na kushabikia wapuuzi kama akina Mange na Kigogo mna safafi ndefu sana ya kuaminiwa kama watu serious mnaoweza kuongoza nchi
Sasa kigogo si ndio mtu wenu nyinyi
 
Mbowe amepambana mno kwenye nyakati ngumu akiwa na Chadema, usisahau hilo.
Hakuna anaye sahau hilo, lakini kanaswa kirahisi sana wakati huu!

Na inaelezeka kwa nini kanasa kirahisi mbele ya huyu mama.
 
Huyu mtu wenu angeachwa afe tuu maana Sasa habebeki.

Unalala kwenye matope mtu apite asichafuke then Asema kwanza ulilala vibaya 🤣🤣

Ndio maana hapa Duniani usijifanye mwema sana,ubinadamu ni kazi
Huyo watakuja kumfanya kama Chacha Wangwe. Kama vipi atoke chadema aanzishe chama chake kama alivyofanya Zito Kabwe au apumzike siasa kama dk Slaa.
 
Lisu akikohoa ccm wanaharisha. Nani kama Lisu?
Ni wakati sahihi kwa viongozi wengine huko ndani ya CHADEMA wasimame tujue wanakolalia, siyo kumwachia Lissu pekee.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom