Kwenye mazishi ya Lowassa hamkusikia Samia akisema "mdogo wangu Freeman"!!? huo ukoo ni mkubwa
Allen Kilewella, denoo JG , imhotep au wale chawa wake, mnakwitwa huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mazishi ya Lowassa hamkusikia Samia akisema "mdogo wangu Freeman"!!? huo ukoo ni mkubwa
Sinaga nidhamu ya unafiki boss. Sio kila mtu Yuko kama ww.Huku ni kumdhalilisha mwenyekiti....acha hii tabia
Mkuu it's better turudi huko kuliko kupeana ahadi hewani. Kuumia ni sehemu ya maisha. Huu unaoitwa uungwana hauna maana kama madai ya msingi hayatekelezwi.Sasa Tundu Lissu anataka turudi kwenye zile siasa za chuki, kwenye mikutano yake huko Iringa anahoji kwa nini Samia alialikwa kwenye mkutano wa Chadema
Kunielewa hebu turudi kidogo nyuma kipindi cha Magufuli mambo yalivyokuwa
Kipindi cha Magufuli, siasa za CCM vs Chadema, zilikuwa ni siasa extreme sana, CCM na Chadema ilikuwa kama makundi ya Wahutu na Watusti kule Rwanda kabla ya mauaji ya kimbari
Kuna kipindi Wabunge wa CCM walipewa onyo kali kumtembelea mbunge mwenzao Lema gerezani alipowekwa rumande kwa miezi kadhaa
Wabunge wa CCM wakapigwa marufuku kumtembelea Lissu hospitalini alipopigwa risasi, na Lazaro Nyalandu mbunge pekee wa CCM aliyemtembelea Lissu aliingia matatizoni na chama chake kwa kufanya jambo hilo hadi ikambidi kuhama
Wananchi nao wakaambiwa waziwazi hawatatatuliwa shida zao kwa sababu walichagua wabunge wa upinzani
Bado kulikuwa na visa vingi vya kesi za kisiasa, kutekwa, mauaji hadi wapinzani akiwemo Lissu na Lema kukimbia nchi.
Fast Forward leo hii, Rais Samia pamoja na mapungufu yake ameondoa siasa hizo za extremism
Samia ameweka mbele kuwa sisi wote ni Watanzania kwanza kabla ya kuwa CCM ama Upinzani
Ndio maana hata Samia alialikwa kwenye mkutano wa Chadema akahudhuria, alikutana na viongozi wa Chadema, kufuta kesi, waliokuwa wamekimbia wakaambiwa warudi, mikutano imeruhusiwa na mengine mengi
Sasa Tundu Lissu anataka turudi kwenye zile siasa za chuki, kwenye mikutano yake huko Iringa anahoji kwa nini Samia alialikwa kwenye mkutano wa Chadema
Anasema pia anakusudia kumshtaki Samia kwa kuweka picha aliyopiga na viongozi wa Chadema kwenye bango
Hizi siasa za kuonana maadui kutokana tu na tofauti ya vyama vyetu tukirudi tena huko waathirika wakubwa ni Chadema, sio CCM, actually kundi kubwa la CCM linatamani turudi huko kwa sababu wao wanaweza kufanya lolote kwa upinzani bila kufanywa chochote kama tulivyoona kipindi cha Magufuli
Ni muda sasa viongozi wa Chadema wakamuonya Tundu Lissu
Hicho chama chenu kitaendelea kuonekana kama kikundi cha wahuni tu kama watu wenyewe ndio ninyi..mtaruhusu ushoga muda si mrefu.
..hamjasikia kuna anayetuhumiwa usagaji na ana madaraka makubwa?
Hicho chama chenu kitaendelea kuonekana kama kikundi cha wahuni tu kama watu wenyewe ndio ninyi
Anachokihubiri Tund Lissu ndio wafuasi wa Magufuli wanakitaka, sababu wanajua siasa hizo zinawafanya waweze kuwafanyia wapinzani kitu chochote na wasifanywe chochoteMkuu it's better turudi huko kuliko kupeana ahadi hewani. Kuumia ni sehemu ya maisha. Huu unaoitwa uungwana hauna maana kama madai ya msingi hayatekelezwi.
Mbowe ni muhuni tu ndo maana alichukia Magufuri Mbowe sijawai kumuona kama MpinzaniMbowe ni "mpinzani poa". Ni aina ya Mwenyekiti ambaye CCM wanadhani wanaweza kufanya naye kazi kupitia ile dhana ya "zimwi likujualo"
Nadhani wafuasi wa Chadema mnachokosea mnadhani kila anayeikosoa Chadema ni mfuasi wa CCM anayetaka upinzani ufe, wengine hatuna hata vyama, bali tunataka nchi yenye siasa safi za kujenga..kingekuwa ni kikundi cha wahuni msingekiandama kiasi hiki?
Anachokihubiri Tund Lissu ndio wafuasi wa Magufuli wanakitaka, sababu wanajua siasa hizo zinawafanya waweze kuwafanyia wapinzani kitu chochote na wasifanywe chochote
Actually ukichunguza kwa makini utaona mashabiki wa mwendazake wanamshangilia Tundu Lissu japokuwa hawampendi, wanajua atawapa wanachotaka
Acha kumdhalilisha mwenyekiti wako, mkosoe ila acha kumbagaza kimajungu.Sinaga nidhamu ya unafiki boss. Sio kila mtu Yuko kama ww.
Maridhiano hayakuvunjika kwa sababu ya Lissu bali ni sababu ya CCM kuogopa wakifanya uchaguzi huru hawatarudi madarakani.shida ya Lissu ni political extremist. Aelewe siasa ni mchezo wa mapambano na maelewano kufikia malengo ya kushika dola.it is both kulingana na mazingira ingawa hoja zake kuhusu kukataliwa maridhiano ina mashiko,kutokuamiana ndilo tatizo la CDM na CCM hawatakaa wajenge jambo moja.Alipokuja kujiunga na vikao tu mambo yakaharibika.Ni hardliner mno hafai kwenye negotiation.
Nadhani wafuasi wa Chadema mnachokosea mnadhani kila anayeikosoa Chadema ni mfuasi wa CCM anayetaka upinzani ufe, wengine hatuna hata vyama, bali tunataka nchi yenye siasa safi za kujenga
Kwa siasa zenu hizi za kudandia na kushabikia wapuuzi kama akina Mange na Kigogo mna safafi ndefu sana ya kuaminiwa kama watu serious mnaoweza kuongoza nchi
Lissu anataka siasa za ushindani na haki. Unataka awe kama Zitto anayeweka tumbo lake mbele?Aisee sikujua Tundu Lissu ana chuki hivi hadi awamu hii ya Samia....Kwa hiyo Samia kualikwa kwenye mkutano wa Chadema kuna na akahudhuria ameona ni shida kubwa, anataka zile siasa za Kihutu na Kitutsi na sio siasa za kuona CCM na Chadema wote ni watanzania
Haya mambo tuliyaonja kidogo kipindi cha Magufuli na Lissu alikuwa mhanga, ila ndio anayatamani?
Huu sasa ndiyo huwa naita ujinga wa nguchiro. Hivi unadhani CHADEMA wanapigania mabadiliko kwa faida yao na watoto wao? Wengine hatuna vyama lakini tunataka chaguzi ziwe huru na haki ili tupate viongozi bora bila kujali wanatokea CCM au chama kingine. Wewe umeshajivika ujinga wa kudhani kuwa Mbowe au Lissu ndiyo watafaidi iwapo kutakuwa na mabadiliko.Nadhani wafuasi wa Chadema mnachokosea mnadhani kila anayeikosoa Chadema ni mfuasi wa CCM anayetaka upinzani ufe, wengine hatuna hata vyama, bali tunataka nchi yenye siasa safi za kujenga
Kwa siasa zenu hizi za kudandia na kushabikia wapuuzi kama akina Mange na Kigogo mna safafi ndefu sana ya kuaminiwa kama watu serious mnaoweza kuongoza nchi
Sisi sote siyo watanzania. Ingekuwa hivyo Samia asingewavurumisha wamasai ili waarabu wapate sehemu.Hilo la shetani na Yesu ni la kwako, mimi najua sisi wote ni watanzania
Acha iwe hivyo boss, hata huyo Magufuli na siasa zake hatukuwahi kumpigia magoti, hiyo ilimfanya atumie nguvu kubwa kupiga propaganda anakubalika, lakini ukweli alijua Kuna kundi kubwa halikuwa linamkubali, labda sana sana kumuogopa na hilo lilikuwa jambo la muda tu. wale walioshindwa walienda kuunga juhudi.Anachokihubiri Tund Lissu ndio wafuasi wa Magufuli wanakitaka, sababu wanajua siasa hizo zinawafanya waweze kuwafanyia wapinzani kitu chochote na wasifanywe chochote
Actually ukichunguza kwa makini utaona mashabiki wa mwendazake wanamshangilia Tundu Lissu japokuwa hawampendi, wanajua atawapa wanachotaka
Kujenga mfumo wa haki hakufanywi kwa kuhubiri siasa za utengano na chuki mzee, unajenga ushawishi na sapoti ya wananchi, wasomi mnashinikiza..hatupaswi kurudi kwenye utekaji na mauaji.
..tunatakiwa tuweke mfumo wa haki ktk siasa na chaguzi zetu.
..Rais Samia amepiga chenga hoja ya Tume Huru, na Katiba Mpya.
..Chadema wana haki ya kumlaumu Rais Samia kwani hayo ni madai yao ya msingi ktk suala zima la kuleta maridhiano nchini.
Ww ndio descpline master nini, au unataka kunifundisha uoga? Yaani mahali pa kumpa ukweli nampa, labda ww ndio umuhofie maana ni mwenyekiti wako.Acha kumdhalilisha mwenyekiti wako, mkosoe ila acha kumbagaza kimajungu.
Mimi sio CCM mzee, mbona nishakueleza, tatizo mnakariri kila mtu anayekosoa hao viongozi wenu wakikengeuka ni CCM, mnataka kila mtanzania awe nyumbu wa kushangilia kila utumbo wa Chadema..hivi umewahi kukosoa au kukemea wana Ccm wanaotukana na kuwadhalilisha viongozi na wafuasi wa Chadema?
..huyo Kigogo si alikuwa mtu wa Ccm akitukana viongozi wa Chadema? Je, serikali ilimchukulia hatua zozote?
..Nadhani tatizo lenu Ccm ni kujiona nyinyi ni binadamu wa daraja la juu kuliko walioko ktk vyama mbadala. Mmelelewa kuamini kwamba wapinzani wanastahili kutukanwa, kutekwa, kuuwawa, wakati nyinyi anastahili kuishi kwa heshima,kinga, na ulinzi.