Maridhiano= vibuyu vya asali.Mimi nacho jua Lissu anapendwa na watanzania ambao hawapendi mambo ya unafiki au ndumila kuwili sie mambo ya ulaya hayatuhusu tunahitaji chama pizani dhabiti sio cha kupiga deal za maridhiano
kuwa na nidhamu nduguKama unadhani Sativa au Tundu Lissu atakuwa happier kuishi Ubelgiji kuliko Tanzania basi huna exposure, hujawahi toka nje.
Au wewe ni social-economic and educational reject hapa Tanzania, kwa hiyo popote pale nje ya Tanzania you will be better-off!
Si kila Mtanzania ana ndoto ya kuishi uhamishoni Ubelgiji.
Na ndio aina hii ya Machiavellian politics watu wakamuita shujaa kumbe ni ujinga na kutotumia akili zaidi ya ubabe mahali ambapo alitakiwa kuacha wataalamu wafanye kazi zao .Case
Ila yule jamaa katika watu walioweza kumjibu Magufuli bila kiburi na kumfanya Magufuli aonekane mjinga naye yumo.
Magufuli alitaka kuleta ligi zake akamuuliza kwani nyumbani kwake kuna lift? Jamaa akamjibu nyumbani kwake si ofisi ya umma.
Magufuli alikuwa bonge la mshamba.
Aliyeuza nchi ni yule tahira nadhani unamjua.ni hatari sana mtu wa namna hiyo huwenda akaiuza nchi na kutokomea ubeligiji
Picha kama hii nilikuwa naisaka sanaHizo stori tumeanza kuzisikia tangu enzi za vita baridi ajabu ni mtu akienda nje ya nchi mnamuita msaliti ilhali hamtaki kutoa uraia pacha mnaosema wanatumika na mataifa ya magharibi hamjaweza kuwazidi chochote wala kujitegemea hadi mnajengewa vyoo!
Shame on you!View attachment 3178911
Naam,Na ndio aina hii ya Machiavellian politics watu wakamuita shujaa kumbe ni ujinga na kutotumia akili zaidi ya ubabe mahali ambapo alitakiwa kuacha wataalamu wafanye kazi zao .
kumbe hujui fatilia koment yangu tafuta uipateUna uhahika?
Chura kiziwi siyo ombaomba?USHAWISHI WA OMBAOMBA ?
Hiyo ni rahisi ukisema wewe ni kitako cha mshare yaani upinde na umekimbia wanataka kukuua wanakupatia paper ndani ya wiki tu!Huyu Lissu sio mtu wa mchezo mchezo, waarabu kila kukicha wanajaribu kuingia ulaya bila mafanikio pamoja na kuwa na sifa sahihi za kuwa wakimbizi.
Ndani ya muda mchache na kupitia connection zake umoja wa Ulaya, Lissu amefanikiwa kumpatia karatasi zote muhimu kumfanya kijana Sativa kuishi ulaya.
Wakati tukielekea kwenye Uchaguzi, Chadema inahitaji mwenyekiti mwenye ushawishi mkubwa mkubwa nchi za magharibi hasahasa umoja wa ulaya. Hii itasaidia kupush agenda za chama na nchi katika meza za maamuzi huko duniani.
Lissu ni Yeye.
Mungu amembariki sana LissuHuyu Lissu sio mtu wa mchezo mchezo, waarabu kila kukicha wanajaribu kuingia ulaya bila mafanikio pamoja na kuwa na sifa sahihi za kuwa wakimbizi.
Ndani ya muda mchache na kupitia connection zake umoja wa Ulaya, Lissu amefanikiwa kumpatia karatasi zote muhimu kumfanya kijana Sativa kuishi ulaya.
Wakati tukielekea kwenye Uchaguzi, Chadema inahitaji mwenyekiti mwenye ushawishi mkubwa mkubwa nchi za magharibi hasahasa umoja wa ulaya. Hii itasaidia kupush agenda za chama na nchi katika meza za maamuzi huko duniani.
Lissu ni Yeye.
Mbona mnahangaika na chama mfu?Tatizo kubwa la Mh. Lisu ni moja tu. Ni mtu asiyefahamu maana ya mifumo, hana tofauti na ma dikiteta wengine kama mbowe. Hilo chama mfu halina uongozi kabisa
Muda mwingine uwe unatumia akili aisee mbona unaonyesha upumbavu hadharani?ni hatari sana mtu wa namna hiyo huwenda akaiuza nchi na kutokomea ubeligiji
ukiwa unafikiri urefu wa pua yako huwezi elewa nduguMuda mwingine uwe unatumia akili aisee mbona unaonyesha upumbavu hadharani?
Kichwa chako kimejaaa matope..Tatizo kubwa la Mh. Lisu ni moja tu. Ni mtu asiyefahamu maana ya mifumo, hana tofauti na ma dikiteta wengine kama mbowe. Hilo chama mfu halina uongozi kabisa
Japo upo sirini lakini jitahidi kuwa unaonyesha hekima.ukiwa unafikiri urefu wa pua yako huwezi elewa ndugu
Magufuli alikuwa anao wafuasi wengi wajinga.Naam,
Na bado mpaka leo watu wanashangilia ujinga mpaka leo.
Halafu wakiwa humu wanasema mabeberu hivi mabeberu vile halafu nyuma ya pazia wanatembeza bakuli la msaada hadi wa vyoo.Picha kama hii nilikuwa naisaka sana
Good.
Tahira anajengewa choo huku nchi yake imejaa rasilimali.
Tuna viongozi matahira
waarabu kila kukicha wanajaribu kuingia ulaya bila mafanikio pamoja na kuwa na sifa sahihi za kuwa wakimbizi.
Ndani ya muda mchache na kupitia connection zake umoja wa Ulaya, Lissu amefanikiwa kumpatia karatasi