Lissu sio mtu wa mchezo mchezo, ndani ya miezi miwili kafanikisha kumpatia Sativa vibali vya kuishi Ubelgiji.

Safi sana maka yupo belgium safi ,kwa TZ au East Africa si salama kwake maana mafwele angemkamata angemla kama mshikaki.
 
Lisu nampenda sanaaa kwa kweli
 
Unahisi tu au mlifuatilia wote hivyo vibali?
 
kwahiyo mnataka kutuletea bokassa mwingine? hivi mnakijua ubelgiji walichokifanya kwa africa? au mnajikata network?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…