Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

Ujinga mzigo.
 
Mwalimu wa Kemia Chato, hapa ni Wapi🀣
 
Una jipya tena ?

JokaKuu zitto junior Kalamu
 
Unadhani wazungu hua wanakurupuka kama nyie?

Wanajipanga,wanaandaa charges tu,ikifika muda wa ku-strike,niggas you are in deep shit!

Nyie subirini...mzungu hua asahau kitu mzee!
Tatizo ni sisi wenyewe kukimbilia kuridhia na ku saini hizi multilateral agreements. Angalia ICC inavyowasumbua waafrika. Hizo nchi za wazungu huwa hawasaini mikataba ya aina hii na ile ya kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira kwa kupunguza uzalishaji wa viwanda. Hakuna nchi za Magharibi ambae ni member anaesaini vitu vya ajabu hivi

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Makinikia yanasafirishwa vizuri tu aisee hakuna ambae alizuia zile zilikuwa fix tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…