Hijui kama jpm ndo alimkung'uta risasi 32 mwamna Lisu akinuia kumuua?Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
KAZI NJEMA.Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
SawaMama atuhakikishie tu Makonda anapata uwaziri mkuu kura zote kabeba
Upinzani waombee tuu jamaa wa Arusha atemwe ila akiwepo hadi October mama njia nyeupe ikuluSawa
Si akisema magu ndio alitaka kumuua?Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
kamfuate huyo mfu wako. Wache wafu wapumzike, hangaika na walio haiHatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
Mim siku Mh Lissu akisema anamkubali Jiwe basi ndiyo siku hiyo sitokuwa na imani naye tena. Maana anaweza anza kuwa na tabia za JiweHatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
We jamaa kuna sehemu ya ubongo wako itakuwa inayumbayumba unless utakuwa wewe ndie Makonda unajisemeaUpinzani waombee tuu jamaa wa Arusha atemwe ila akiwepo hadi October mama njia nyeupe ikulu
LemaKwa hiyo kanda ya Kaskazini tumebaki na nani?
Lissu aache kumtukana Magufuli na Wasukuma kwa ujumla. Hiyo sera itamkwamisha kuuchukua urais. Hiyo ni sera ya Samia na awamu yake ya sita.Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
Tabia zipi za jiwe mbaya au nzuri?Mim siku Mh Lissu akisema anamkubali Jiwe basi ndiyo siku hiyo sitokuwa na imani naye tena. Maana anaweza anza kuwa na tabia za Jiw
Ukimaindi kanye bogaWe jamaa kuna sehemu ya ubongo wako itakuwa inayumbayumba unless utakuwa wewe ndie Makonda unajisemea
Na yale matusi na kejeli zake zote kwa JPM bado watu hawajasahauSi akisema magu ndio alitaka kumuua?
Lisu na marehemu, wanakaribiana kwa kuwa wakweli na kutokuwa waoga wa kuunena ukweli wanaouamini.Wengi wa Timu Lisu ni Timu Magu
Mimi mwenyewe naenda kufata kadi ya Chadema rasmi. Chini ya TAL atazoa wafuasi wengi sana. Tuko pamoja shemeji.Ntashawishika kumpigia kura Lissu na kujiunga chadema chini ya Lissu.