Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?

Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
 
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?
Majizi ya kura hata aibu hamna. Toka lini kuongea mambo bora ya nchi yetu ilianza kuwa shida?

Ni mtu Mwizi tu Anaweza kukataa tume huru ya uchaguzi.
 
Majizi ya kura hata aibu hamna. Toka lini kuongea mambo bora ya nchi yetu ilianza kuwa shida?

Ni mtu Mwizi tu Anaweza kukataa tume huru ya uchaguzi.
KUONGEA KUHUSU NINI?
 
Tundu Lissu kasema kukaa na kuongea na mzee Wasira ni kupoteza muda..

hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi
Vipi sela inaonekana umepiga ugali maharage gonga na maji man inaweza ukawa normal Tena , sijakuelewa🤔
 
Hata huu uchaguzi ukifanyika kibabe bila chama kikuu cha upinzani kushiriki bado utatia dosari kubwa sana kwa ccm katika medani za kimataifa

Kwahiyo kuna haja kubwa sana ya chama chetu ccm kutumia busara na hekima katika kuliendea jambo hili
 
Hatujapokea kauli mbiu ya Mzee Wasira.
Mzee angepumzika tu
 
Tundu Lissu kasema kukaa na kuongea na mzee Wasira ni kupoteza muda..

hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi
Lissu kiboko,

Yaani imebidi uondoke Gaza na kuwatelekeza ndugu zako kuja Kupambana na Lissu,

Hii inafikirisha!!
 
Lissu kiboko,

Yaani imebidi uondoke Gaza na kuwatelekeza ndugu zako kuja Kupambana na Lissu,

Hii inafikirisha!!
Humjui Ritz wewe hili ndiyo jukwaa langu miaka yote wewe mgeni JF.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Humjui Ritz wewe hili ndiyo jukwaa langu miaka yote wewe mgeni JF.
Muda wote Mbowe alipokuwepo ulijua mserereko ukawaachia chawa,

Nini kimekukurupusha utoke Gaza haraka?

Ni Lissuphobia!!

Na Bado.
 
Kwa akili hizi acha hamasi wapigwe tu hamna namna
Nimemsikiliza kwa makini sana, ila najiuliza anataka kukaa kikao na Rais kujadili nini wakati wasaidizi wa Rais ambao aliwateua kumsaidia anawaita ni side show sijui debe tupu
 
Kwa kua mmezoea kuwa machawa na mambumbu mnazani kila nyakati zipo hivo
 
Muda wote Mbowe alipokuwepo ulijua mserereko ukawaachia chawa,

Nini kimekukurupusha utoke Gaza haraka?

Ni Lissuphobia!!

Na Bado.
Chadema-Kata leo wanamtukana Mbowe😂
 
Chadema-Kata leo wanamtukana Mbowe😂
Nakuuliza,

Mbona haraka hivyo,

Unamaanisha Vita ya Gaza Si muhimu tena, ughafula umetoka wapi baada tu ya Lissu kuingia mzigoni?
 
Back
Top Bottom